MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Wananchi wa mji wa Rasquere (Raskera) katika Mkoa wa Catalonia Spain jana walipiga kura ya maoni juu ya kupanda bangi kama njia ya kukabiliana na madeni yanayoukabili mji huo. Asilimia 56.3 ya kura ilikubali wazo hilo.
Hata hivyo, uamuzi wa kupanda bangi hautafikiwa mpaka hapo Mwanasheria Mkuu wa Spain atakapoamua uhalali wa kura hiyo ya maoni. MAELEZO ZAIDI HAPA
Hata hivyo, uamuzi wa kupanda bangi hautafikiwa mpaka hapo Mwanasheria Mkuu wa Spain atakapoamua uhalali wa kura hiyo ya maoni. MAELEZO ZAIDI HAPA