tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Askari wa jeshi la polisi mjini Bunda wanawapiga mabomu wanchi wenye hasira kali wanaowasaka majambazi waliomvamia mwalimu wa shule ya msingi na kumuua usiku wa kuamkia leo. Haadi ssasa majambazi watatu wameishauawa.