Wananchi waondoa nguzo za mipaka zilizowekwa na Tanapa

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,264
24,140
Published on 27 Nov 2012 by ITV TANZANIAZaidi ya wakazi elfu mbili wa jamii ya wafugaji katika kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakiwa na silaa za jadi zikiwemo mishale mikuki na marungu wamevamia na kuondoa nguzo za mipaka iliyowekwa na shirika la hifadhi za taifa (TANAPA) kwa madai ya kuvamiwa na kunyany'anywa ardhi yao.

Wanakijiji wanadai kijiji chao kina title deed lakini wanashangazwa na hatua ya TANAPA kubadili mipaka kila mara bila kujali title deed ya kijiji na maisha ya wanakijiji kwa ujumla. Mwisho wanakijiji hao walingoa ' becons' wa kuonyesha 'maeneo' ya TANAPA na kuondoa nzao ktk lori.

 
Last edited by a moderator:
Kwa hili Mi binafsi naunga hoja mkono kwani ndiyo faida ya serikali legelege kama ya Jk!


Wajitazame upya!

Wizara husika wajiulize ni wapi pana mapungufu na wajirekebishe bila hata ya kufanya haya mambo kuwa makubwa!

Safi sana!
 
Back
Top Bottom