Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,679
- 20,433
Hawatapelekewa hudumaRais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Hawatapelekewa hudumaRais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Hiyo ndiyo ccm. Wanaopita ni watu wa mfukoni mwa mkuu na ndiyo maana anamweka anayemtaka.Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea
Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai
Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta
Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo
Muda huu yupo live TBC saa tano
Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami
Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani
Kazi kazi kweli kweli
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea
Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai
Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta
Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo
Muda huu yupo live TBC saa tano
Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami
Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani
Kazi kazi kweli kweli
Labda kwa sababu ya pombe maana kuna aina nyingi za pombe. Ya leo Kali!Aisee comrade fanyeni kikao cha dharura mumpange upya Mzee Pombe maana tangu mkutano Shinyanga ametoka nje ya mstari amekua ni mtu wa jabza na vitisho kwa wapiga kura 🤣🤣🤣
Halafu mgombea Ubunge hapo Busega si ni Eric Shigongo ???Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea
Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai
Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta
Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo
Muda huu yupo live TBC saa tano
Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami
Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani
Kazi kazi kweli kweli
Busega mgombea ni Eric Shigongo kama haki itatendeka hili jimbo ccm wanalipoteza with a landslide victory wasukuma ni objective voters sana wanachagua wanayemtaka siyo waliyeletewa.Wewe ni mwana ccm au chadema?
Kama ni chadema endelea kuwa chadema
Kama ni mwana ccm kama mimi yakupasa kutoa ushauri na sio kutoa taarabu na ngonjera za kujibishana na mleta uzi
Je mleta uzi ameandika uwongo,Nawe umekili ni kweli kuna tatizo
Sasa kama kuna tatizo kwanini alirudishwa diwani ambaye hakupita kura za maoni na mbunge
Kuna matatizo tunasababisha wenyewe ,
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea
Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai
Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta
Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo
Muda huu yupo live TBC saa tano
Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami
Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani
Kazi kazi kweli kweli
Rudi darasa la piliHakuna kupita bila kupungwa lazima haki itendeke.
Hajawatisha amewaeleza ukweli!