Uchaguzi 2020 Wananchi wamkataa Diwani na Mbunge mbele ya Rais Magufuli kata ya kiloleni Busega

Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli
Hawatapelekewa huduma
 
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli

Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea

Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai

Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta

Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo

Muda huu yupo live TBC saa tano

Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami

Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani

Kazi kazi kweli kweli
Hiyo ndiyo ccm. Wanaopita ni watu wa mfukoni mwa mkuu na ndiyo maana anamweka anayemtaka.
Baada ya zomea zomea kuwa kubwa, alisikia akisema nyamazeni, na msiponyamaza nitaondoka. Nilitegemea aondoke baada ya kukasirika, bali alibaki akiwatishia kuwa watajuta wakimchagua mtu mwingine.
 
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli

Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea

Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai

Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta

Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo

Muda huu yupo live TBC saa tano

Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami

Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani

Kazi kazi kweli kweli

Magu asiwafokee watu. Fedha si zake. Ni Kodi zetu. Kwanza tarehe 28 October 2020 sisi wananchi wa Tanzania tuna JAMBO LETU dhidi yake.
 
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli

Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea

Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai

Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta

Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo

Muda huu yupo live TBC saa tano

Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami

Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani

Kazi kazi kweli kweli
Halafu mgombea Ubunge hapo Busega si ni Eric Shigongo ???
 
Wewe ni mwana ccm au chadema?
Kama ni chadema endelea kuwa chadema

Kama ni mwana ccm kama mimi yakupasa kutoa ushauri na sio kutoa taarabu na ngonjera za kujibishana na mleta uzi

Je mleta uzi ameandika uwongo,Nawe umekili ni kweli kuna tatizo

Sasa kama kuna tatizo kwanini alirudishwa diwani ambaye hakupita kura za maoni na mbunge

Kuna matatizo tunasababisha wenyewe ,
Busega mgombea ni Eric Shigongo kama haki itatendeka hili jimbo ccm wanalipoteza with a landslide victory wasukuma ni objective voters sana wanachagua wanayemtaka siyo waliyeletewa.
 
Rais Magufuli akiwa anaelekea Mwanza amewashawishi wananchi wamchague diwani wa ccm na Mbunge wa ccm lakini wananchi hao wamezomea na kukataa mbele ya Rais Magufuli

Wananchi hao wa kata ya kiloleni jimbo la Busega ambalo mgombea wao pendwa Bwana chegeni amekatwa jina lake wakati aliongoza kura za maoni wamekasirika mbele ya Rais kwa kuzomea

Mwananchi mmoja ameomba kuelezea tatizo ,Mwananchi huyo wa ccm amesema mbunge na diwani wa ccm bwana Magoti hawafai

Rais amesisituza wakichagua mgombea mungine watajuta

Akitumia kilugha ambacho mimi sikuelewa ni lugha gani akiweka msisitizo,Aidha lugha hiyo ya utamaduni bado haikusaidia zomea zomea hiyo

Muda huu yupo live TBC saa tano

Wananchi wameweka ngumu na Rais anasema hatapeleka lami

Wananchi wanamjibu hatumtaki wala hatumchagui Bwana Magoti diwani

Kazi kazi kweli kweli
 
Wachague wa upinzani kwani lazima wa Chama cha mboga mboga .
 
Back
Top Bottom