Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,596
- 5,787
Hii ina maana gani, katika uteuzi wa wakuu wa mikoa, kuna baadhi walikosa ubunge mwaka jana. Hii ni ishara kuwa wananchi walipima utendaji kazi wao na kujiridhisha kuwa upo chini then wakawatema.
Kikwete ameamua kuwarudisha tena serikalini kwa kuwapa ukuu wa mkoa au wilaya, hii inaonyesha kuwa wananchi walikosea.
Je aliyeshindwa ubunge ataweza ukuu wa mkoa au wilaya.?.
Uadilifu wao uko wapi?.
Kikwete ameamua kuwarudisha tena serikalini kwa kuwapa ukuu wa mkoa au wilaya, hii inaonyesha kuwa wananchi walikosea.
Je aliyeshindwa ubunge ataweza ukuu wa mkoa au wilaya.?.
Uadilifu wao uko wapi?.