Leo tukiwa tunaenda job asubuhi kwa gari lakzini ( Staff bus) tukawa tunasikiliza dondoo za magazeti mara kikasomwa kichwa cha habari katika gazeti la Raia Mwema chenye muundo wa swali kuwa "JK Kuongezewa muda?" watu karibu wote basi zima wakaguna na kusema "mmmh tena? inatosha!" Mara ukaibuka mjadala humo ndani huku watu wengi wakisema hawataki kusikia hiyo habari.
Swali ni kwamba ni kweli wananchi wamemchoka mheshimiwa kiasi hicho? Na je hali ikoje katika eneo ulilopo?
Swali ni kwamba ni kweli wananchi wamemchoka mheshimiwa kiasi hicho? Na je hali ikoje katika eneo ulilopo?