Wananchi walishawapuuza. Mnatwanga maji kwenye kinu kufanya usanii wa kiaiasa. Ninyi ni matapeli wa kisiasa mlishashutukiwa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,124
4,162
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Samia amekimbia nchi akiacha vilio Kwa watanzania labda mwenzetu kipofu huoni
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Wacha wee!
 
Naww ukiwa kama mmoja wa hao wananchi kupuuza sio kwa njia hii... Mpaka utenge muda wa ku type....pole sana...baki huko huko hujapewa mwaliko
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Ndio wapo mlimani wanakula na kunywa wewe upo huko hujui Una Kula nini
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
MÀTAGA mmeachwa kwenye mataa,

Mama hataki siasa za kishamba za SUKUMA,
Mama anataka siasa za kimjini/pwani.
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Kati ya walioachia nchi kuwa na bei isyoshukika ya pestroli, dizel, mafuta ya taa,mafuta ya kupikia pamoja a bei ya chakula na Mbowe ani anawachezea? Huna maana kabisa
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.

Yani unatetea viongozi wanaoshindwa hata kushughulikia kupanda Bei kwa vitu.
 
Mkuu tuwapinge Kwa hoja sijapenda Hiyo ya kwamba ni Chama cha matapeli ila point ni kwamba hawa wenzetu kuna sehemu wanapwaya sana

Britanicca
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Mkuu mbona umebwatuka bila hoja? Nini hasa kiini cha mbwatuko huu?
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Magufuli alishakufa wewe unafanya nini hapa JF?
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Ongeza albamu ya kangala kwanza ndugu muuza,halafu titaweza ongeza vyema.😝
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
CHADEMA wako busy kupiga selfie Mlimani City watupie kwenye mitandao.

-Kumbe wanapenda majengo mazuri? Sasa mbona miaka 30 wameshindwa hata kujenga Headquarters wanapangisha ubavu vichochoroni?

- Hiki ndiyo chama kinategemea tukipe dhamana kuongoza nchi?

NEVER!
 
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.

Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.

Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.

Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Muuza kangaraaa
 
Back
Top Bottom