Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,124
- 4,162
Mbowe ni kibaraka wa CCM na watu walishampuuza kabisa.
Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.
Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.
Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.
Wananchi sasa wapo serious kupambana na maisha magumu hivyo hawataki usanii wa kipuuzi juu ya hatima maisha yao.
Kujifanya wajanja ili muchezee akili za wananchi wao walishashutuka ipo siku mtapigwa mawe hadharani.
Huu sio wakati wa Mbowe na genge lake kuchezea maisha ya watanzania.