luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Picha ya Ndege, Kibaha.
Wananchi wa mtaa wa Sofu kata ya Sofu, wamekataa shule ya kataa kupewa jina mbunge, ambae ni mbunge wa jimbo la kibaha mjini. Kufuatia kikao cha mtaa huo kilicho fanyika majira ya jioni kikiwa na ajenda kadhaa,
ndipo wananchi wakahoji jina la shule iyo ya sekondari ambayo ilijengwa kwa nguvu ya wanachi kwa kushirikiana na serikali na kuzinduliwa na mbio za mwenge zilizo fanyika mapema mwaka hu. Awali kukiibuka fununu ya kuwa shule iyo imepewa jina la mbunge wa jimbo ndipo wananchi wakaanza kuhoji uhalali wa shule iyo kuitwa jina la mbunge ikiwa wao hawaja pendekeza jina ilo.
Mpaka kigikia tamati ya kikao icho wananchi waliazimia kupinga shule iyo kuitwa jina la Mbunge.
Wananchi wa mtaa wa Sofu kata ya Sofu, wamekataa shule ya kataa kupewa jina mbunge, ambae ni mbunge wa jimbo la kibaha mjini. Kufuatia kikao cha mtaa huo kilicho fanyika majira ya jioni kikiwa na ajenda kadhaa,
ndipo wananchi wakahoji jina la shule iyo ya sekondari ambayo ilijengwa kwa nguvu ya wanachi kwa kushirikiana na serikali na kuzinduliwa na mbio za mwenge zilizo fanyika mapema mwaka hu. Awali kukiibuka fununu ya kuwa shule iyo imepewa jina la mbunge wa jimbo ndipo wananchi wakaanza kuhoji uhalali wa shule iyo kuitwa jina la mbunge ikiwa wao hawaja pendekeza jina ilo.
Mpaka kigikia tamati ya kikao icho wananchi waliazimia kupinga shule iyo kuitwa jina la Mbunge.