mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 916
TBC habari,
wakazi wa jimbo la kigoma kusini ambalo linaongozwa na kafulila wamekataa kufuata agizo la mbunge wao kwamba wasishiriki katika ujenzi wa maabara badala yake wamejitokeza kwa wingi katika ujenzi wa maabara hizo.
Akizungumza kwa niaba ya watu wake mwenyekiti wa halmashauri wa eneo hilo ambaye pia ni kutoka chama cha kafulila alibainisha kuwa hawako tayari kufuata amri ya mbunge ikiwemo kugomea kushiriki ujenzi wa maabara pamoja na kutochangia shilingi 2000 kila kaya ukiwa ni mchango wa wananchi kwenye maabara,
mwenyekiti alisema kuwa mbunge anaposema tusichangie shilingi elfu mbili anambadala gani,je analeta hizo pesa au anafanya jitihada gani ili maabara zijengwe tumegundua kuwa hakuna anachofanya sisi tumeamua kusonga mbele bora tutofautiane katika hili ili maabara zijengwe alisema mwenyekiti.
jitihada hizo pia zilichagizwa na mhandisi wa wilaya hiyo baada ya kuamua kushiriki na wananchi katika ujenzi huo pamoja na watumishi wengine wa wilaya hiyo.
wakazi wa jimbo la kigoma kusini ambalo linaongozwa na kafulila wamekataa kufuata agizo la mbunge wao kwamba wasishiriki katika ujenzi wa maabara badala yake wamejitokeza kwa wingi katika ujenzi wa maabara hizo.
Akizungumza kwa niaba ya watu wake mwenyekiti wa halmashauri wa eneo hilo ambaye pia ni kutoka chama cha kafulila alibainisha kuwa hawako tayari kufuata amri ya mbunge ikiwemo kugomea kushiriki ujenzi wa maabara pamoja na kutochangia shilingi 2000 kila kaya ukiwa ni mchango wa wananchi kwenye maabara,
mwenyekiti alisema kuwa mbunge anaposema tusichangie shilingi elfu mbili anambadala gani,je analeta hizo pesa au anafanya jitihada gani ili maabara zijengwe tumegundua kuwa hakuna anachofanya sisi tumeamua kusonga mbele bora tutofautiane katika hili ili maabara zijengwe alisema mwenyekiti.
jitihada hizo pia zilichagizwa na mhandisi wa wilaya hiyo baada ya kuamua kushiriki na wananchi katika ujenzi huo pamoja na watumishi wengine wa wilaya hiyo.