Wananchi waanza kuiogopa Chadema kama ukoma

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Ni habari za kuvunja moyo kabisa baada ya wananchi waliowengi kuonekana kujuta juu ya kuzipeleka kura zao CHADEMA ,baadhi ya wananchi walisikika wakisema hawa CHADEMA hawajatulia na imekuwa boa hawakuukwaa Uraisi kwani nchi ingevurugika kutokana na ubinafsi unaoonekana na ulioonyeshwa katika kupata wabunge wachee au nafasi za wabunge wa dezo,idadi kubwa ya wabunge hao ni ndugu au jamaa au ni marafiki wa karibu na viongozi wakubwa wa Chadema walioegemea ukabila na udini.

Wananchi wengne walikishangaa Chama hicho kisivyokuwa na msimamo kati yao baada ya nusu ya wabunge kuunga mkono ombi lao la kutoka bungeni na wengine kubakia ,Chama kinaonekana hakina msimamo na inaonyesha dhahiri kuna makundi alisikika mkazi mmoja wa ukonga.

Celina Kipasile mkazi wa Ukerewe Mwanza alisema mwanzo alikiamini sana Chadema lakini kutokana na mkorogo ulio ndani ya Chama wananchi wengi walio sehemu za huko wamekatishwa tamaa na hawatorudia kosa,mgogoro mkubwa unaoendelea chini kwa chini ndani ya Chedema umezidi kuwachanganya wananchi na kuona kumbe walikuwa wameegemea mti mkavu.
 
mbona mie nimejiunga leo?

wanaolalamika ni wale wale ambao wanafananisha siasa na mchezo wa mopira wa miguu.

tena wakati najiunga akaja mwananchi mungine ambaye naye alipata hasira kuona watu wanamuongelea vibaya dr slaa eti anadai mshahara mkubwa!

cdm oyeee!!!!
 
Watu kama nyie tulishawajua tu na hatutatetereka na majungu yenu cc CHADEMA tunaendeshwa na taratibu na katiba iliyopo hatuendeshwi na maneno yenu.Hao watu umewahoji saa ngapi na lini?Acha uongo.
 
Lete takwimu au chanzo cha habari yako kueleza hao 'wananchi' ni wangapi.
 
Eti kweli Deus Mallya ni mpiga picha na designer rasmi wa Chadema au uzushi tu?
 
Ni habari za kuvunja moyo kabisa baada ya wananchi waliowengi kuonekana kujuta juu ya kuzipeleka kura zao CHADEMA ,baadhi ya wananchi walisikika wakisema hawa CHADEMA hawajatulia na imekuwa boa hawakuukwaa Uraisi kwani nchi ingevurugika kutokana na ubinafsi unaoonekana na ulioonyeshwa katika kupata wabunge wachee au nafasi za wabunge wa dezo,idadi kubwa ya wabunge hao ni ndugu au jamaa au ni marafiki wa karibu na viongozi wakubwa wa Chadema walioegemea ukabila na udini.

Wananchi wengne walikishangaa Chama hicho kisivyokuwa na msimamo kati yao baada ya nusu ya wabunge kuunga mkono ombi lao la kutoka bungeni na wengine kubakia ,Chama kinaonekana hakina msimamo na inaonyesha dhahiri kuna makundi alisikika mkazi mmoja wa ukonga.

Celina Kipasile mkazi wa Ukerewe Mwanza alisema mwanzo alikiamini sana Chadema lakini kutokana na mkorogo ulio ndani ya Chama wananchi wengi walio sehemu za huko wamekatishwa tamaa na hawatorudia kosa,mgogoro mkubwa unaoendelea chini kwa chini ndani ya Chedema umezidi kuwachanganya wananchi na kuona kumbe walikuwa wameegemea mti mkavu.

Hua nikiona thread siilewi yaani imekaaa kisharishari naangalia tu jina, nikiona ID haileweki najua hata content ni yale yale tu. Mfano mwandishi ana ID kama hii Malaria Sugu, Mwiba, Zubeda, Dar es Salaam, n.k hua nazoma kujifurahisha at least post zao nao ziwe zimesomwa
 
Wacheni jazba ,ukweli usemwe na msiwe wakereketwa kama waCCM ambao wamekunywa maji ya bendera ,hivi mnataka kusema ndani ya CHADEMA hakuna mgogoro unaochimbuachimbua kama mchwa ?? au ni siri ? Maana mwanzo mlikuwa mnaficha lakini kila siku zikienda mambo hadharani ,wadau wacheni jazba Chadema ni wapita njia au waganga njaa kwa luga ingine ni wadini waliobobea
 
Lete takwimu au chanzo cha habari yako kueleza hao 'wananchi' ni wangapi.
Unataka chanzo we unaishi dunia gani,yaani una macho na masikio lakini huoni wala husikii ,pole sana ,Haya shee Yaaya kasema Slaa na Kikwete watakuwa marafiki karibuni !!! Au hujasoma ?
 
Ni habari za kuvunja moyo kabisa baada ya wananchi waliowengi kuonekana kujuta juu ya kuzipeleka kura zao CHADEMA ,baadhi ya wananchi walisikika wakisema hawa CHADEMA hawajatulia na imekuwa boa hawakuukwaa Uraisi kwani nchi ingevurugika kutokana na ubinafsi unaoonekana na ulioonyeshwa katika kupata wabunge wachee au nafasi za wabunge wa dezo,idadi kubwa ya wabunge hao ni ndugu au jamaa au ni marafiki wa karibu na viongozi wakubwa wa Chadema walioegemea ukabila na udini.

Wananchi wengne walikishangaa Chama hicho kisivyokuwa na msimamo kati yao baada ya nusu ya wabunge kuunga mkono ombi lao la kutoka bungeni na wengine kubakia ,Chama kinaonekana hakina msimamo na inaonyesha dhahiri kuna makundi alisikika mkazi mmoja wa ukonga.

Celina Kipasile mkazi wa Ukerewe Mwanza alisema mwanzo alikiamini sana Chadema lakini kutokana na mkorogo ulio ndani ya Chama wananchi wengi walio sehemu za huko wamekatishwa tamaa na hawatorudia kosa,mgogoro mkubwa unaoendelea chini kwa chini ndani ya Chedema umezidi kuwachanganya wananchi na kuona kumbe walikuwa wameegemea mti mkavu.

Sijasoma thread,nimesoma tu heading kwa hiyo sijali uliyoyaandika!
SIMPLY C.R.A.P
 
Wacheni jazba ,ukweli usemwe na msiwe wakereketwa kama waCCM ambao wamekunywa maji ya bendera ,hivi mnataka kusema ndani ya CHADEMA hakuna mgogoro unaochimbuachimbua kama mchwa ?? au ni siri ? Maana mwanzo mlikuwa mnaficha lakini kila siku zikienda mambo hadharani ,wadau wacheni jazba Chadema ni wapita njia au waganga njaa kwa luga ingine ni wadini waliobobea

Aaaah unazungumzia migogoro tu, nimekuelewa sana mpwa, samahani mwanzoni sikukuelewa ila kama ni migogoro mbona hata ndani ya ndoa zetu na familia zetu ipo? ajabu ni ipi ikitokea CHADEMA? si ndio kujengana kwenyewe huko? Au CUF hawana migogoro wamekua malaika? Si na kwenyewe kuna migogoro? hebu tuandikie ya CUF ndo uje ya CCM then CHADEMA. Asante
 
Unataka chanzo we unaishi dunia gani,yaani una macho na masikio lakini huoni wala husikii ,pole sana ,Haya shee Yaaya kasema Slaa na Kikwete watakuwa marafiki karibuni !!! Au hujasoma ?
Kijana, naishi dunia hii hii unayoishi. Kitaaluma ukitoa habari kama hii unahitaji kuonyesha kuwa ni wananchi wangapi ambao wana mtazamo huo uliosema. Kama umetoa mfano wa mtu mmoja, huyo ni mwananchi, na sio wengi. Mimi nasoma sana, kwa taarifa yako, nalipwa kwa kusoma mambo ya siasa za Tanzania na za nchi zingine pia, lakini sijajifanya kuwa najua kuliko wote, ndio maana nimekuomba chanzo hicho. Asante.
 
if you have noticed this notice you will have noticed that this notice is not worth noticing
 
MOD nadhani kuna haja ya watu kumeet min condition kujiunga na hii forum.

Ni wazi kabisa mtu amesikia maneno hayo yakisemwa je alivyoileta hii hoja hapa jukwaani anatazamia nini? Hivi kama yeye ni mshanbiki wa CCM au hao waliocomment hivyo je anategemea kuwa watakuwa na comment nzuri kuhusu wapinzani wao CDM? Ni
wazi unataikiwa upime agenda wakati unaileta hapa JF iwe objective kumbuka JF si mahali pa washikiwa akili. Hatujadili hear say, only facts which can be verified independently. Get it siyo swala la ushabiki wa vyama hata kidogo!
 
kama nilivyosema awali....
if you have noticed this notice you will have noticed that this notice is not worth noticing
 
Back
Top Bottom