johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,541
Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa.
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!
Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa.
Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa sababu ndiye anayejulikana zaidi kwa wananchi na sifa anazo.
Maendeleo hayana vyama!