Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,707
- 15,162
Magufuli anakurupuka kubadilisha sheria za madini tutashitakiwa MIGA ~~~ Lisu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Mkwara gani hapo?Hak
Halafu unaweza ukakuta unampiga huo mkwara baba yako .siku mkikutana sasa unakuwa mdogo kama piriton na makofi ya uso unapewa kiroho safi .
Ukweli kwako kwa wengine propaganda tuHichi ndo nachokipata kwa kusema ukweli naitwa mpingaji as long nasimama kwenye ukweli ni sawa.
Pongezi kwa Mimi binafsi kujua kukimbiaPongezi kwa Wizara ya Ulinzi na vyombo vya usalama.
Wa-Tanzania tunajivunia vile vyote ambavyo akili yako wewe imenyimwa upeo wa kuviona, pamoja na vile ambvyo imepewa upeo wa kuviona . Ni vingi sana wala havina idadiWewe kama Mtanzania una kipi cha kujivunia kuanzia Siasa, Uchumi, Tamaduni, Michezo na Burudani?
Honestly natamani kuwa hata raia au hata Diaspora wa Developed country na huu sio usaliti ni vile tu kila mtu yupo na wishes zake.
Rodriguez ndo anayeyusha aseeoyaaa iyo inatoka lini aisee maana miaka inakata tu, Robert Rodriguez anazingua sana
Mbali na kusajiliwa kwa alama za vidole pia najivunia utawala unaoleta elimu bure japo sijui kama ni bora au si Bora!