nyambaya kurwaki
Senior Member
- Apr 8, 2020
- 133
- 155
Kuishi kwingi kuona mengi
kabisa.........Kuishi kwingi kuona mengi
roho mbayaNakushauri ktk hiyo username yako neno "Maarifa" liondoe, libaki hilo la "Chizi" pengine ndio linalokufaa
Halafu hizo nchi zimeathirika pakubwa na janga la covid,maana shughuli nyingi za uzalishaji zilisimama huku siye tukiendelea na uzalishaki lakini bado tuko mkiani tu. Lakini tunashangaa nini kama tetemeko lililotokea Kagera,badala ya kuwasaidia wananchi walioumizwa na wengine kufa,tuliishia kuwatukana. Usifikiri kuna tofauti kubwa kati ya Magu na huyu, wote ni walewale.Marais wanaojitambua👇
View attachment 2176520View attachment 2176521View attachment 2176523
Rais hewa👇🐒🐒🐒View attachment 2176524
*22#Kufuta Hiki Kichekesho Tubonyeze Ngapi
bonanza la mchinaKufuta Hiki Kichekesho Tubonyeze Ngapi
Tuzo ya muziki inaongeza tija gani katika nchi zaidi ya kutumia pesa za walipa kodi kuifanikisha. Yaani pesa ya mlipa kodi itumike kumpa tuzo mwimbaji wa singeli na kigodoro alafu iwe sifa kwa raisi!! aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibuHaijawahi kutokea hata wasanii juzi wamemshukuru kuwasaidia kupata tuzo za music hakika anastahili kuwa hata Rais wa ulimwengu anawajali sana raia wa kipato cha chini
Muombee sana uyo jamaa apone icho kichaaNilikuwa naongea na rafiki yangu hapa south africa. akawa ananiambia kuwa anatamani sana kama Rais Samia angekuwa Rais wao. Huyu jamaa yangu ni mfanya biashara mkubwa sana hapa Pretoria South Africa. Ni jamaaa wa nne namsikia akisema maneno hayo. Maana last week nilikuwa Zambia nako nilimsikia jamaa mmoja ni Muuzaji wa Mafuta (Mfanyabiashara 0 naye alitamani kama wangekuwa na Rais kama Samia ambaye ameleta mapinduzi Makubwa katika Uchumi ndani ya muda mfupi sana.
Haraka ikaunganisha na lile tamko kuwa kuna maombi ya nchi kama tatu hivi yakitaka Rais Samia awe Rais wao. hapo nikashukuru Mungu kuwa sisi Tanzania tumebarikiwa sana. na inawezekana tusione jambo hili kwa wepesi ila kweli nawaambia nabii hakubaliki kwao. Toka awe madarakani tumeona mapinduzi makubwa sana katika biashara. Nchi sasa imefunguliwa watu wanaingia na kutoka. Zamani hali ilikuwa ngumu na kupelekea hata watu kuanza kuiba yale masega ya kwenye magari kuyatumia. Sasa hayo mambo yameisha hawaibi tena sababu hamna sababu zao zile za kipuuzi ze kuiba wakayavute kama madawa ya kulevya.
Mpaka tukifika mwaka 2025 niamini mimi nachokwambia kuna watu watakuwa wanakuja kumwazima akaongoze nchi zao hata kwa wiki kadhaa tu. Kenya nao naona wanapiga jalamba katika harakati hizi za kumtaka Rais Samia awe wao.
Jamaa hawachelewi kusema ni Rais wao kwa jinsi ambavyo siku zote hupenda vitu vizuri viwe vyao.
PumbavuuuuuuuNilikuwa naongea na rafiki yangu hapa south africa. akawa ananiambia kuwa anatamani sana kama Rais Samia angekuwa Rais wao. Huyu jamaa yangu ni mfanya biashara mkubwa sana hapa Pretoria South Africa. Ni jamaaa wa nne namsikia akisema maneno hayo. Maana last week nilikuwa Zambia nako nilimsikia jamaa mmoja ni Muuzaji wa Mafuta (Mfanyabiashara 0 naye alitamani kama wangekuwa na Rais kama Samia ambaye ameleta mapinduzi Makubwa katika Uchumi ndani ya muda mfupi sana.
Haraka ikaunganisha na lile tamko kuwa kuna maombi ya nchi kama tatu hivi yakitaka Rais Samia awe Rais wao. hapo nikashukuru Mungu kuwa sisi Tanzania tumebarikiwa sana. na inawezekana tusione jambo hili kwa wepesi ila kweli nawaambia nabii hakubaliki kwao. Toka awe madarakani tumeona mapinduzi makubwa sana katika biashara. Nchi sasa imefunguliwa watu wanaingia na kutoka. Zamani hali ilikuwa ngumu na kupelekea hata watu kuanza kuiba yale masega ya kwenye magari kuyatumia. Sasa hayo mambo yameisha hawaibi tena sababu hamna sababu zao zile za kipuuzi ze kuiba wakayavute kama madawa ya kulevya.
Mpaka tukifika mwaka 2025 niamini mimi nachokwambia kuna watu watakuwa wanakuja kumwazima akaongoze nchi zao hata kwa wiki kadhaa tu. Kenya nao naona wanapiga jalamba katika harakati hizi za kumtaka Rais Samia awe wao.
Jamaa hawachelewi kusema ni Rais wao kwa jinsi ambavyo siku zote hupenda vitu vizuri viwe vyao.
Tuache ujingaNilikuwa naongea na rafiki yangu hapa south africa. akawa ananiambia kuwa anatamani sana kama Rais Samia angekuwa Rais wao. Huyu jamaa yangu ni mfanya biashara mkubwa sana hapa Pretoria South Africa. Ni jamaaa wa nne namsikia akisema maneno hayo. Maana last week nilikuwa Zambia nako nilimsikia jamaa mmoja ni Muuzaji wa Mafuta (Mfanyabiashara 0 naye alitamani kama wangekuwa na Rais kama Samia ambaye ameleta mapinduzi Makubwa katika Uchumi ndani ya muda mfupi sana.
Haraka ikaunganisha na lile tamko kuwa kuna maombi ya nchi kama tatu hivi yakitaka Rais Samia awe Rais wao. hapo nikashukuru Mungu kuwa sisi Tanzania tumebarikiwa sana. na inawezekana tusione jambo hili kwa wepesi ila kweli nawaambia nabii hakubaliki kwao. Toka awe madarakani tumeona mapinduzi makubwa sana katika biashara. Nchi sasa imefunguliwa watu wanaingia na kutoka. Zamani hali ilikuwa ngumu na kupelekea hata watu kuanza kuiba yale masega ya kwenye magari kuyatumia. Sasa hayo mambo yameisha hawaibi tena sababu hamna sababu zao zile za kipuuzi ze kuiba wakayavute kama madawa ya kulevya.
Mpaka tukifika mwaka 2025 niamini mimi nachokwambia kuna watu watakuwa wanakuja kumwazima akaongoze nchi zao hata kwa wiki kadhaa tu. Kenya nao naona wanapiga jalamba katika harakati hizi za kumtaka Rais Samia awe wao.
Jamaa hawachelewi kusema ni Rais wao kwa jinsi ambavyo siku zote hupenda vitu vizuri viwe vyao.
Ndiyo hawa mazwazwa wa kuamini dini za watu bila kujuwa ukweli na kuchukia historia yao, wasamehe tu.Hivi nyie mnaofanyaga kazi za kumsifu rais na Serikali yake huwa mnalipwa sh ngap
Kama haijapanda huwa ni elfu 7 kwa siku!Hivi nyie mnaofanyaga kazi za kumsifu rais na Serikali yake huwa mnalipwa sh ngap
Ndio maana unajiita ChiziNilikuwa naongea na rafiki yangu hapa south africa. akawa ananiambia kuwa anatamani sana kama Rais Samia angekuwa Rais wao. Huyu jamaa yangu ni mfanya biashara mkubwa sana hapa Pretoria South Africa. Ni jamaaa wa nne namsikia akisema maneno hayo. Maana last week nilikuwa Zambia nako nilimsikia jamaa mmoja ni Muuzaji wa Mafuta (Mfanyabiashara 0 naye alitamani kama wangekuwa na Rais kama Samia ambaye ameleta mapinduzi Makubwa katika Uchumi ndani ya muda mfupi sana.
Haraka ikaunganisha na lile tamko kuwa kuna maombi ya nchi kama tatu hivi yakitaka Rais Samia awe Rais wao. hapo nikashukuru Mungu kuwa sisi Tanzania tumebarikiwa sana. na inawezekana tusione jambo hili kwa wepesi ila kweli nawaambia nabii hakubaliki kwao. Toka awe madarakani tumeona mapinduzi makubwa sana katika biashara. Nchi sasa imefunguliwa watu wanaingia na kutoka. Zamani hali ilikuwa ngumu na kupelekea hata watu kuanza kuiba yale masega ya kwenye magari kuyatumia. Sasa hayo mambo yameisha hawaibi tena sababu hamna sababu zao zile za kipuuzi ze kuiba wakayavute kama madawa ya kulevya.
Mpaka tukifika mwaka 2025 niamini mimi nachokwambia kuna watu watakuwa wanakuja kumwazima akaongoze nchi zao hata kwa wiki kadhaa tu. Kenya nao naona wanapiga jalamba katika harakati hizi za kumtaka Rais Samia awe wao.
Jamaa hawachelewi kusema ni Rais wao kwa jinsi ambavyo siku zote hupenda vitu vizuri viwe vyao.