Wananchi wa Mtwara huwa tu Hawasikii. Kikwete mwenyewe alishawatengeneza sana

Lile tukio nilisikitika mno hata kama ni utamaduni kiungwana angeshukuru na si kutenda vile lengo lake ili jiwe amuone watu wa Mtwara bado wanampenda na kumuhitaji.
Ule ni utamaduni wa watu wa Mtwara mie nilioa mzungu (tushamwagana) ila nae siku ya harusi alitembea juuya migongo ya mashangazi kama kawaida. Asili na iheshimiwe. Mdharau kwao ni mtumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu utamaduni ni wa watu wa Pwani. Hufanyika kama binti amejitunza na kuolewa bikra, mama wakubwa, wadogo na mashangazi hulala chini kwa furaha na kumuacha akanyage migongo kama hongera ya kuwatoa aibu.
Kama umeshindwa kukataa kutembea juu ya mgongo wa mama yako..

Why did you go to school?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba nikuulize swali
Uliza ila usiingize siasa mie sio mwanasiasa na wala sijihusishi na siasa. Nimetetea swala la kutembea juu ya migongo kwa kuwa mie ni mtu wa kusini pure na ndoa zangu zote mbili wake zangu katika kukaribishwa walitembea juu ya migongo ya mashangazi na mawifi. Kwa mafunzo ya jando niliyopitia ile ni heshima anayopewa mtu kwa mila za makabila ya kusini haswa wamakonde, wamakua, wayao na wamwera
 
ukitaka kujua akili ndogo za watu wa kusini muangalie mwanamuzi Hamonize alivyojaa ulimbukeni, anajiona kuliko JAY Z, kibri kimetukuka. Hao jamaa shule haipo haipo.
Wamakonde ulimbukeni ni asili yao wengi wapo hivyo.
 
Uliza ila usiingize siasa mie sio mwanasiasa na wala sijihusishi na siasa. Nimetetea swala la kutembea juu ya migongo kwa kuwa mie ni mtu wa kusini pure na ndoa zangu zote mbili wake zangu katika kukaribishwa walitembea juu ya migongo ya mashangazi na mawifi. Kwa mafunzo ya jando niliyopitia ile ni heshima anayopewa mtu kwa mila za makabila ya kusini haswa wamakonde, wamakua, wayao na wamwera
Utajisikiaje kama mzazi wako(sorry) ukishuhudia anakanyagwa kwenye makalio.
 
Kwa kuwa ninajua maana yake wala sioni ajabu ni kama mtu amekukumbatia kwa tamaduni za kizungu ambazo wewe unaamini ndio bora
Hapana mkuu Kuna utamaduni ukiniambia kwa Sasa niufate nitakaa kulingana na Dunia ilipo fikia now mfano, ukiniambia nivae magome ya miti nitembee nayo kwa kuwa ni utamaduni kwangu haitawezekana, ukiniambia nikeketwe kwa kuwa ni utamaduni nitakataa ila ukiniwekea ngoma ukanambia nicheze nitajaribu sio kila utamaduni ni wa kufata. Ukweli ni kwamba Binafsi nilimshangaa mno Nape.
 
Hapana mkuu Kuna utamaduni ukiniambia kwa Sasa niufate nitakaa kulingana na Dunia ilipo fikia now mfano, ukiniambia nivae magome ya miti nitembee nayo kwa kuwa ni utamaduni kwangu haitawezekana, ukiniambia nikeketwe kwa kuwa ni utamaduni nitakataa ila ukiniwekea ngoma ukanambia nicheze nitajaribu sio kila utamaduni ni wa kufata. Ukweli ni kwamba Binafsi nilimshangaa mno Nape.
Kuna utamaduni unaweza kuwa na madhara mfano kukeketa au kurithi mke wa marehemu ila ule wa kupita juu ya mashangazi au kinamama hauna madhara na ni heshima kubwa sana kwa watu wa kusini ni kama Yesu alivyowekewa majani ya mtende wakati anapita na mwanapunda au kitendo cha wayahudi kumbusu mtu miguuni ile haina madhara yoyote ila ni tamaduni kama tamaduni za mataifa mengine. Mfano wazungu wana tamaduni ya kukumbatiana ambapo kwa baadhi ya makabila ni mwiko kumgusa mtu kama mkweo etc

Tujifunze kuheshimu mila na desturi za makabila ya wenzetu unaposema dunia imefikia kiwango hiki una maanaisha wazungu sio kabila lako. Tuutunze utamaduni wetu wamasai wanavaa mashuka ila wamakonde maraba wanatoboa ndonya na warangi wanachanja mashavu. Wamakonde wanaenda jando ila wachaga wana taratibu zao tofauti, wazaramo wanamweka binti mwali wakati wanyakyusa wana taratibu tofauti.

Natamani taratibu hizi zitunzwe na watoto wetu wafundishwe kuhusu asili zao ili tamaduni hizi zisipotee.

Mnawaiga mno wazungu mpk imefikia sasa vijana karibu asilimia 20% wanainmgiliwa kinyume na maumbile kutokana na kufuata tamaduni za magharibi na matamthilia ya kifilipino ambayo yamejaa mashoga na wasagaji au matamthilia kama EMPIRE.

Wake up mzee utamaduni ni kielelezo cha utashi na uhai wa taifa lolote duniani. Wajapan, Waskotishi, Wachina, Wahindi n.k wote wana tamaduni zao ambazo zinawatambulisha kimataifa.

Kama hujaelewa ili somo sitakuelewesha tena
 
Mkapa ndiye alitakiwa kusimama upande wao lakini nae ndio hivyo utafikiri ni mhamiaji kule baadaye kahama kabisa nasikia kakimbilia Lushoto
 
Ndo ujue kuwa viongozi wetu hawana akili kama wananchi walivyo. Hata Mitume na Manabii wenyewe hawakuwa kutembea juu ya binadamu kuonesha ukuu wao.

Yule jamaa hana akili akatembea kweli juu yao.dada,shangazi na mama zake.
Mwana wa Adam kaishia kupungiwa matawi ya miti,ndo ujue hatufanani
 
Back
Top Bottom