huyo mkuu wenu aliyekuja huko ni mtu wa hatari sana kwani mkizubaa ni lazima awalize. Gia yake kuu ni kutumia injili, ambapo anajiita mlokole ila ni mpiga dili ile mbaya.Kule Hai alijifanya anaithamini elimu akaanzisha mfuko wa elimu wa kujenga kidato cha tano na sita na hatimaye akakusanya fedha zaidi ya milioni mia nane na kuzitafuna. madiwani pamoja na mbunge wa Hai alipohoji juu ya fedha hizo alisema kumbukumbu kamili hana kwani data ziliifadhiwa kwenye computer na zimeliwa na virusi wajumbe walipoleta noma DC alianza kukwepa vikao hakuwahi kuonekana tena mpaka pale alipo hamishwa na alikuwa akimshutumu mengi kwamba aliahidi angtoa milioni mia lakini hakuzitoa. kwa taarifa hii nawasii sana hasa mbunge wa mbeya awe makini na huyo mtu ni mjanja sana anatabia ya kujiweka upande wako kumbe ndio anakuibia hivyo ni muhimu kuwa naye makini pia msimuamini hata kwa chembe moja.