mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,827
- 106,009
HahahaMwanasiasa akikwambia hivi sasa ni saa nne usiku, toka nje ukahakikishe....
Ova
HahahaMwanasiasa akikwambia hivi sasa ni saa nne usiku, toka nje ukahakikishe....
Aje tutamtembeza wilaya yote ya kilosa
Ova
Mbona unaweza kuzaliwa Kilimatinde lakini ukakulia Kilosa au ukazaliwa Kilosa ukakulia Singida, inawezekana sana tu.Mtujuze wadau ,inawezekanaje mtu akazaliwa sehemu mbili tofauti?Mara kilimatinde singida Mara paaah kilosa kichangani,Mara anandugu pale magubike,au MTU anaweza zaliwa ukubwani?biography inaonyesha amezaliwa kilimatinde na kusoma herega kilosa japokuwa shule inaitwa mgugu.wanasiasa mnatuvuruga...#uchaguzi 2020 una vihoja#View attachment 1494568
Wabunge wengi hasa wa mijini si wasaliwa wa huko. eg Dar, Mwanza, na Arusha . Tatizo liko ma Wilayani huko bado ukabila upo.Mtujuze wadau ,inawezekanaje mtu akazaliwa sehemu mbili tofauti?Mara kilimatinde singida Mara paaah kilosa kichangani,Mara anandugu pale magubike,au MTU anaweza zaliwa ukubwani?biography inaonyesha amezaliwa kilimatinde na kusoma herega kilosa japokuwa shule inaitwa mgugu.wanasiasa mnatuvuruga...#uchaguzi 2020 una vihoja#View attachment 1494568
Lema kafwata
Ntamtembeza aijue kilosa vzr basi usijaliLema kwao Machame, Arusha kafwata nini? Na wewe ni primitive tu, ...
Lema kwao Machame, Arusha kafwata nini? Na wewe ni primitive tu, ...
Ukiambiwa siasa ni uongo, ushahidi ni huu. Baba wa Taifa, kaondoka lini madarakani, leo hii miaka 35 baadae sijui profesa alikuwa usingizini, ati leo ndio kakumbuka Mg ni mkoa wa kimkakati na ghafla yeye ndio atawezesha huko kuwa mkoa wa kimkakati kuwezekana?Wananchi wa kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.
Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...
Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko
Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari
Chanzo: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!