CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
WANANCHI WA KATA YA KISESE KIJIJI CHA DISA WILAYANI KONDOA VIJIJINI WAUKATAA MKUTANO WA MWENYEKITI WA KIJIJI WAMFATA KUMSIKILIZA PROF.LIPUMBA
Wananchi wa Kijiji Cha Disa Wilayani Kondoa Vijijini Wamejitokeza kwa Wingi Kumsikiliza Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof Lipumba Huku Wakigoma Kwenda Katika Mkutano wa Kijiji Ulioitishwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Disa.
Wananchi wa Kijiji Cha Disa Wilayani Kondoa Vijijini Wamejitokeza kwa Wingi Kumsikiliza Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof Lipumba Huku Wakigoma Kwenda Katika Mkutano wa Kijiji Ulioitishwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Disa.