johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Wananchi wa Finland wametaka nchi yao ijiunge na NATO ili kujihakikishia usalama zaidi lakini Putin amewapiga mkwara wasithubutu.
Finland inashare mpaka na Russia
Source: BBC
Finland inashare mpaka na Russia
Source: BBC