Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Wakuu
CCM na viongozi wake wamekuwa wakijinadi kipindi cha uchaguzi kwamba jiji la Dar es salaam limejengwa kisawasawa na miundombinu yake hususani barabara iko vizuri jiji zima
Fly over za kutosha, bombadi, daraja la salenda halikadhalika Mwendokasi vyote hivi CCM inasema ni kwaajili ya manufaa ya wanadaslam!
Mvua hizi zimekuja wakati muafaka, kipindi cha kampeni ambapo Magufuli na CCM yake wanasema waliahidi na wametekeleza, Je Jijini Dar es salaam waliahidi mafuriko kwa wakazi wa keko, mikocheni, jangwani na kwingineko?
Je waliahidi na kutelekeza barabara hizi zilizofungwa kufuatia mvua ya siku moja tu?
Ni muda muafaka sasa kwa wakazi wa Dar es salaam kuamua kuendelea kuteseka na hadha hizi za miaka mingi ndani ya jiji au kuchagua upande mwingine ili ukawatatulie kero hii kubwa kwani CCM imeshindwa
CCM na viongozi wake wamekuwa wakijinadi kipindi cha uchaguzi kwamba jiji la Dar es salaam limejengwa kisawasawa na miundombinu yake hususani barabara iko vizuri jiji zima
Fly over za kutosha, bombadi, daraja la salenda halikadhalika Mwendokasi vyote hivi CCM inasema ni kwaajili ya manufaa ya wanadaslam!
Mvua hizi zimekuja wakati muafaka, kipindi cha kampeni ambapo Magufuli na CCM yake wanasema waliahidi na wametekeleza, Je Jijini Dar es salaam waliahidi mafuriko kwa wakazi wa keko, mikocheni, jangwani na kwingineko?
Je waliahidi na kutelekeza barabara hizi zilizofungwa kufuatia mvua ya siku moja tu?
Ni muda muafaka sasa kwa wakazi wa Dar es salaam kuamua kuendelea kuteseka na hadha hizi za miaka mingi ndani ya jiji au kuchagua upande mwingine ili ukawatatulie kero hii kubwa kwani CCM imeshindwa