Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,615
- 218,038
Mungu wabariki Wananchi
Kuna tofauti sana kati ya hii yako na ile iliyoletwa huko juu. Utakuwa una matatizo kama huoni tofauti hizo.Wananchi wa kijiji cha Ruvu Jiungeni, Same wamemkataa mwenyekiti wa kijiji kwa tiketi ya CCM katika mkutano wa kijiji wakidai hawakumchagua baada ya Mkuu wa wilaya kufanya ziara katika kijiji hapo!
Jamiiforums kwa sasa ni haina chujio la habari zinazoletwa hapa jukwaani!
Erythro, rafiki yangu, hapa kuna jambo zuri sana.Kyela si kama kwenu Chamwino , Mwenyekiti wenu amekataliwa na asipojiuzulu yatamkuta makubwa zaidi
Tell him pls, hii ni mwanzo tu, makubwa iko jiani yajaKyela si kama kwenu Chamwino , Mwenyekiti wenu amekataliwa na asipojiuzulu yatamkuta makubwa zaidi
Po asyaghile kughu,,,, leka tubhalusye kukujaUlintungulu kikolo ku nsyobha ujwani. Uswe twe bheneikisu sikajhapo bho isyo.
Huo ndo ukweli Wanyakyusa hatuna hizo biashara za eti kufanya uliyoyatunga.
Unajua mkuu Bams, kuna njia nzuri na salama sana za kuzima na kuondoa ukandamizaji huu tunaoushuhudia sasa hivi bila ya kuwepo na vurugu na hata kumwaga damu za waTanzania.Binafsi nimekuwa nikijitahidi kusaidia mambo mbalimbali katika kata yetu. Kwa mwaka nimekuwa nikisaidia kati ya TZS 20 - 30m. Lakini kwa uhuni huu uliofanyika ndiyo mwisho. Karibuni nimeletewa ombi, nikalitupilia mbali.
Lakini pia nimekuwa nikiishawishi kampuni ambayo mimi ni mmoja wa wakurugenzi, kusaidia mambo ya kijamii kwenye vijiji. Nilipoona ule upuuzi uliofanyika kwenye uchaguzi, nikasema ndiyo mwisho. Utatoaje msaada usimamiwe na mtu ambaye una uhakika hakuchaguliwa? Uwezekano mkubwa hata hao unaowasaidia, hawatampa ushirikiano kiongozi aliyepachikwa.
Mimi nina imani, taratibu watu wameanza kutambua tatizo lillpo. Mwisho wa siku, wananchi wenyewe wataliondoa na tutaendelea sote kwa umoja wetu. Nchi hii ilijengwa katika msingi imara sana, sio rahisi kwa kiongozi mmoja kuja kuvuruga taifa ambalo limekuwa mfano wa kuigwa, sio Afrika tu, bali duniani kote.Huyu jiwe aneamua kuingwa taifa kabisa kwa hizi hujuma na huu ukatili wake, sasa taifa imegawayika, na niseme hizi kuirudisha taifa pamoja itakuwa kazi nzito sana, sasa chuki imeongezeka sana hapa kwetu, mungu tulikukosea wapi, siumupumuzishe huyu jambazi gaidi la ajabu
Usiamini kila kinacholetwa hapa Jamiiforums!
Magufuli Ni great failureNi imani yangu wapo wana ccm wengi hata wateule ambao hawafurahishwi na figusu za kubebwa zinazo haribu umoja wa taifa letu. Ushauri wengu tupeane elimu wajitambue wajiudhuru nyathifa zao kupisha ushaguzi halali.
Kyela si kama kwenu Chamwino , Mwenyekiti wenu amekataliwa na asipojiuzulu yatamkuta makubwa zaidi
Binafsi nimekuwa nikijitahidi kusaidia mambo mbalimbali katika kata yetu. Kwa mwaka nimekuwa nikisaidia kati ya TZS 20 - 30m. Lakini kwa uhuni huu uliofanyika ndiyo mwisho. Karibuni nimeletewa ombi, nikalitupilia mbali.
Lakini pia nimekuwa nikiishawishi kampuni ambayo mimi ni mmoja wa wakurugenzi, kusaidia mambo ya kijamii kwenye vijiji. Nilipoona ule upuuzi uliofanyika kwenye uchaguzi, nikasema ndiyo mwisho. Utatoaje msaada usimamiwe na mtu ambaye una uhakika hakuchaguliwa? Uwezekano mkubwa hata hao unaowasaidia, hawatampa ushirikiano kiongozi aliyepachikwa.
Kuna tofauti sana kati ya hii yako na ile iliyoletwa huko juu. Utakuwa una matatizo kama huoni tofauti hizo.
AMINAMimi nina imani, taratibu watu wameanza kutambua tatizo lillpo. Mwisho wa siku, wananchi wenyewe wataliondoa na tutaendelea sote kwa umoja wetu. Nchi hii ilijengwa katika msingi imara sana, sio rahisi kwa kiongozi mmoja kuja kuvuruga taifa ambalo limekuwa mfano wa kuigwa, sio Afrika tu, bali duniani kote.
Asilani hatofanikiwa kutuvuruga.
Bashiru Ally ameagiza wanaccm kupenyeza hotuba za kumsifu Magufuli kwenye kila msiba