masenu msuya
Member
- Dec 9, 2012
- 15
- 14
Habari wanabodi,Ni jukumu la wananchi kupiga kura lakini sio jukumu na kinyume cha sheria kukaa karibu na vituo vya kupiga kura kwa kigezo cha kulinda kura ningependa kuwakumbusha na kuwaasa wananchi wenzangu wa kinondoni na siha kuepuka kila ulaghai unaofanywa na dj na kikundi chake cha wahuni wasiopenda sifa nzuri ya amani ambayo tunajivunia watanzania.
Dj na kikundi chake anatamani na kupenda kuona damu inamwagika ndio maana wanavunja sheria ili polisi wakisimamia utulivu kwa kutumia nguvu kidogo wapate cha kukichafulia nchi kimataifa.Tujiulize kwanini wao wasitapakae vituoni kulinda kura mpaka watake wananchi walinde kura watanzania wenzangu tushituke tuseme inatosha kutumiwa na wanasiasa uchwara ambao damu za watanzania wenzetu kama mtaji wao kisiasa inasikitisha sana.
Dj na kikundi chake anatamani na kupenda kuona damu inamwagika ndio maana wanavunja sheria ili polisi wakisimamia utulivu kwa kutumia nguvu kidogo wapate cha kukichafulia nchi kimataifa.Tujiulize kwanini wao wasitapakae vituoni kulinda kura mpaka watake wananchi walinde kura watanzania wenzangu tushituke tuseme inatosha kutumiwa na wanasiasa uchwara ambao damu za watanzania wenzetu kama mtaji wao kisiasa inasikitisha sana.