Wananchi ni muda muafaka sasa kuitaka serikali ijenge shule kwa kutumia kodi wanazotutoza na suala la kuchangishana likome rasmi.

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Huu ndiyo ukweli wenyewe. Wajenge shule, zahanati, waajiri wataalamu na wahakikishe madawati wanapeleka kila mwanafunzi akalie dawati. Kuna umhimu gani wa kutozana kodi kama watoto wataendelea kukaa chini? kama zahanati zitakosa wahudumu wa afya, kama wananchi tutaendelea kutoa maeneo yetu bure kwa miradi huku tukibaki masikini nao wakibaki matajiri. Kuanzia sasa hakuna mchango ambao utakuwa halali tena kutolewa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa.
 
Nani alikwambia utachangishwa mchango wa majengo? Umejikunyata ndani hujui hata kinachoendelea..mbona mimi niliko majengo yanajengwa tena karibu kila shule zunguka kwenye shule za kwenye uone Kazi sio mnaropoka tuu hamjui kinachoendelea
 
Nani alikwambia utachangishwa mchango wa majengo? Umejikunyata ndani hujui hata kinachoendelea..mbona mimi niliko majengo yanajengwa tena karibu kila shule zunguka kwenye shule za kwenye uone Kazi sio mnaropoka tuu hamjui kinachoendelea
Wewe ndiyo mropokaji haujui mambo yanaendeshwaje.
 
Wewe ndiyo mropokaji haujui mambo yanaendeshwaje.
Wewe unaejua hujui kinachoendelea jinga kabisa wewe usikute uko kwa shemeji unaropoka tuu hapa.

Ungekuwa unajua usingeropoka hapa 👇

Screenshot_20210716-065729.png


Screenshot_20210716-065108.png


Screenshot_20210716-065040.png
 
Back
Top Bottom