GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Nathubutu Kusem hili ni Tukio la Kutisha kabisa na kusikitisha. Maskini Wananchi wasiokua na hatia wanapoteza roho, kuanyimwa rights zao zakukusanyika kihilali kwasababu tu serikali inangozwa na CCM.
Matokeo kama haya ynafaa yakomeshwe na wakuyakomesha ni wananchi wenyewe sio Polisi kwani hao polisi ndio anafiki wanaofanyakazi kwakupokea Rushwa .
Wala Serikali kwani Serikali haijali wananchi wake hasa (akiwa mwananchi huyo haamini sera zao za CCM). Na wala sio international au domestics mediar kwani wao ndio wanafiki wanaofanya upendeleo na kuchochea fujo.
Kwa kumalizia,katiba hata zije mia hazitaweza kuwaondoa mafisadi katika nchi hii, cha msingi wananchi kuamua na kuwaondoa mafisadi wote, wanyongeni mafisadi katika chaguzi, hakuna kurudi nyuma, ccm inatapa tapa haina pa kukimbilia, sasa imeamua kurusha mabomu.
Matokeo kama haya ynafaa yakomeshwe na wakuyakomesha ni wananchi wenyewe sio Polisi kwani hao polisi ndio anafiki wanaofanyakazi kwakupokea Rushwa .
Wala Serikali kwani Serikali haijali wananchi wake hasa (akiwa mwananchi huyo haamini sera zao za CCM). Na wala sio international au domestics mediar kwani wao ndio wanafiki wanaofanya upendeleo na kuchochea fujo.
Kwa kumalizia,katiba hata zije mia hazitaweza kuwaondoa mafisadi katika nchi hii, cha msingi wananchi kuamua na kuwaondoa mafisadi wote, wanyongeni mafisadi katika chaguzi, hakuna kurudi nyuma, ccm inatapa tapa haina pa kukimbilia, sasa imeamua kurusha mabomu.