😂😂😂😂😂mkuu imenibidi nicheke kwanza nitarudi tena 😂😂😂Mbona sielewi...hao mbwa ndo wana nchi? Huyo jamaa ni rahisi na camera ndo sanduku la kura au?
Wananchi wa tanganyikan hawana uwezo wa kumtoa kiongozi madarakani labda hawa wa serikali za mitaa/vijaa......baada ya hapo inategemea mfumo wa nchi upoje, Kiongozi anawapoteza wale wote anawaona ni kikwazo kwenye utawala wake.....Wananchi kupitia sanduku la kura au mashinikizo kupitia maandamano wanakutoa kwenye madaraka.