gost
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 275
- 135
Uzembe mkubwa unao fanywa na viongozi wa chadema watukatisha tamaa wapambanaji kuna mambo kadha yanavyo fanyiwa Kazi ndo yanayo tuvunja moyo
Mfano
1. Alfonce mawazo
2. Operation ukuta
3. Ben sanane ambae alikua Master mind wa namba 2
4. lisu
Uhairishwaji wa UKUTA matokeo yake ni wametutia uoga na nakwambia watangaze maandamano wata andamana sasa wenyewe kwa kua wapambanaji tumesha ogopa
Vifo, kupotea, na kupigwa risasi bila majibu na watu kushuhulikiwa haraka pia inatufanya tuendelee tu kuvumilia shida zetu kuliko kujiunga na jeshi la wakimbozi hewa wanao waacha wapiganaji nyuma bila majibu ya yalio wakuta
Tumesha kata tamaa na kama una bisha lete facts yako na nitakujibu Chadema original
Mfano
1. Alfonce mawazo
2. Operation ukuta
3. Ben sanane ambae alikua Master mind wa namba 2
4. lisu
Uhairishwaji wa UKUTA matokeo yake ni wametutia uoga na nakwambia watangaze maandamano wata andamana sasa wenyewe kwa kua wapambanaji tumesha ogopa
Vifo, kupotea, na kupigwa risasi bila majibu na watu kushuhulikiwa haraka pia inatufanya tuendelee tu kuvumilia shida zetu kuliko kujiunga na jeshi la wakimbozi hewa wanao waacha wapiganaji nyuma bila majibu ya yalio wakuta
Tumesha kata tamaa na kama una bisha lete facts yako na nitakujibu Chadema original