Wananchi Monduli wanalala njaa kwa kukosa maji

hugochavez

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,907
1,009
Ni habari ya kusikitisha ndugu lakini ndio ukweli mchungu kuumeza. Pamoja na mh Edward Lowasa kuongoza jimbo hilo akiwa mbunge kwa miaka 20 na uwaziri mkuu juu lakini wananchi wa jimbo la monduli wanateseka kuliko kawaida. wanafikia hatua hatua ya kulala njaa kwa kukosa maji. wananchi wanatembea kilometa zaidi ya kumi kufuata maji huku maji yenyewe yakiwa ya kuchangia na mifugo. shame in you Lowasa. Kijiji cha baraka kata ya engaruka na kata ya moito wameapa endapo mzee huyo atafika na hadaa zake watamtemea mate usoni. Kiufupi amechoka na hawataki kumsikia. Unakuta mtu ana chakula cha kutosha lakini hana maji inabidi alale njaa....kauli ya kina mama katika kijiji cha moita wilayani monduli kwa ngoyai..
 
Ni habari ya kusikitisha ndugu lakini ndio ukweli mchungu kuumeza. Pamoja na mh Edward Lowasa kuongoza jimbo hilo akiwa mbunge kwa miaka 20 na uwaziri mkuu juu lakini wananchi wa jimbo la monduli wanateseka kuliko kawaida. wanafikia hatua hatua ya kulala njaa kwa kukosa maji. wananchi wanatembea kilometa zaidi ya kumi kufuata maji huku maji yenyewe yakiwa ya kuchangia na mifugo. shame in you Lowasa. Kijiji cha baraka kata ya engaruka na kata ya moito wameapa endapo mzee huyo atafika na hadaa zake watamtemea mate usoni. Kiufupi amechoka na hawataki kumsikia. Unakuta mtu ana chakula cha kutosha lakini hana maji inabidi alale njaa....kauli ya kina mama katika kijiji cha moita wilayani monduli kwa ngoyai..

Wewe unmetoa mchango gani kwa hao wanachi wa moduli? Je ulitaka lowasa awapelekee maji nyumbani kwao?
Je serikali imechukua jukumu gani kuwapatia maji hao wananchi?
 
Asilimia zaidi ya 80 ya majimbo yote nchini yamekuwa chini ya ccm kwa zaidi ya miaka 50 na bado ni masikini kuliko hata huko Munduli! Hata huyo Lowasa ameongoza jimbo hilo miaka mingi akiwa huko ccm! Hivi umeshawahi kufika Chato, Butiama, Bagamoyo, Masasi? Kuna nini cha zaidi huko na wametoka marais wa nchii?
 
vichaa wa Lumumba MNA tabu sana.
Kazi ya kuleta maji ni ya mbunge au serikali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom