dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
ITV Habari
Katika hari ya kumkomboa Mtanzania serikali imewataka wananchi wa Mkambarani kuhama na kuwapisha Islamic Foundation Tanzania kwa shughuri mbalimbali za taasisi hiyo. Ukubwa wa eneo hili ni takriban hekari 200.
Kikubwa zaidi wananchi wanadai wapo katika eneo hilo toka mwaka 1979 na wengine wamedai ni bora wafie hapo hapo lakini si kuhamishwa
Haya sasa ngoja wenye maneno yao watatwambia ni haki?
Katika hari ya kumkomboa Mtanzania serikali imewataka wananchi wa Mkambarani kuhama na kuwapisha Islamic Foundation Tanzania kwa shughuri mbalimbali za taasisi hiyo. Ukubwa wa eneo hili ni takriban hekari 200.
Kikubwa zaidi wananchi wanadai wapo katika eneo hilo toka mwaka 1979 na wengine wamedai ni bora wafie hapo hapo lakini si kuhamishwa
Haya sasa ngoja wenye maneno yao watatwambia ni haki?