Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Kama ulimsikiliza Mbunge wa Tarime hapo awali akitoa taarifa ya vifo na mauaji na jinsi Spika alivyokataa taarifa hiyo utadhani anaishi Tarime na ukisikia maelezo haya ya kibabe ya Spika utashangaa sana.
Lakini hitimisho linakuja ukiona wabunge wote wakishangilia kauli ya Spika dhidi ya Mbunge mwenzao aliyejitoa kuwasemea wananchi wake.
Je, kwa kitendo cha Wabunge hawa wa CCM kuna nafasi tena ya mbunge kusimama na kutetea hoja yake dhidi Serikali kama wenzake wanaweza kumgeuka na kuishangilia Serikali huku akionekana muongo?
Lakini hitimisho linakuja ukiona wabunge wote wakishangilia kauli ya Spika dhidi ya Mbunge mwenzao aliyejitoa kuwasemea wananchi wake.
Je, kwa kitendo cha Wabunge hawa wa CCM kuna nafasi tena ya mbunge kusimama na kutetea hoja yake dhidi Serikali kama wenzake wanaweza kumgeuka na kuishangilia Serikali huku akionekana muongo?