Lowassa hajanunuwa hizo nyumba?
Wamechoka uteja wanataka mabadiliko ndio maana wamefanya hivyo. Wakichagua ccm wataendelea kuwa mateja na kukata tamaa maisha yao yote. Tafakari!
Lowassa hajanunuwa hizo nyumba?
Wanapiga deki kwenye lami, lakini bado wanasema miaka 54 hakuna kilichofanyika!
Kwaio obama akidekiwa barabara sio mataahira ila mbongo mwenzetu akidekiwa ndio mataahira??? Wewe ndio utakua taariha hadi wanakunyosso.
Angalau wewe unasema hivyo. Wengi wanaaminishwa kuwa hakuna kitu kilichofanyika kwa miaka 54!hakuna alisema hakuna kilichofanyika ila kuna development at decreasing rate
Yani wanaofagia barabara wanaonekana kabisa ni wanywa viroba....wanaonesha ni darasa la nne failure...
Hahahaaaaqq