thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 253
- 340
Anatafutwa Siro hapo
Ohooooo !!!Yote hayo alaumiwe kibatala tulikuwa hatujui km Hawa jamaa hawajui PGO ni nini
Hiyo ni obvious, tutarajie IGP Sirro akifukuzwa kazi na Rais Samia, iwapo atagoma kujiuzuru😄Je tutarajie mabadiliko kwenye jeshi hilo ?
Nakubaliana na hilo, natafuta nafasi baadaye niwashirikishe uzoefu wangu juu ya kile kinachoitwa jeshi la polis Tanzania. In a nutshell wale ni majambazi wenye uniform.Nani atawachunguza hawa? Ni bora zaidi watoke nje ya jeshi hilo.
Nakubaliana na hilo, natafuta nafasi baadaye niwashirikishe uzoefu wangu juu ya kile kinachoitwa jeshi la polis Tanzania. In a nutshell wale ni majambazi wenye uniform.
Polisi hawazi kupendwa na mwananchi hata siku moja tangu enzi za yesu na kabla ya yesu askari hakuwahi kupendwa kwa kilichopo polisi akitenda majikumu yake ipasavyo tayari mwananchi atamuona ni mtu mbaya,jambo la msingi mwananchi afuate sheria na kutii mamlaka zilizopo hakuna kingine hata jeshi libadilishwe vp sijui lakini kama halitakabiliana na wahalifu itakuwa ni kazi bure.
Yaani katika ubishani wa kurushiana Risasi kati ya Polisi na Majambazi ,Polisi wamefanikiwa kuwauwa Jambazi wawili kati ya wanne na wengine wamekimbia.Polisi ni kichaka majambazi .wezi .vibaka yaani natapika nikimwona polisi
SidhaniJe tutarajie mabadiliko kwenye jeshi hilo ?