ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,714
- 28,268
Magu was the real leader ......
Hao uliowataja ni asilimia ngapi ya watanzania?Wengi hawatamsahau, labda nikupe mifano.
-Wazazi wa Ben Saanane hawatamsahau.
-Lissu kwa yale majeraha yake pia hatamsahau.
-Wazazi wa Aqulina pia hawatamsahau.
-Familia ya Azory Gwanda pia haitamsahau.
Hiyo ni mifano michache tu, hivyo ni kweli hatosahaulika kwani hata Hitler na Idd Amin nao pia bado wanakumbukwa mpaka leo na hawatasahaulika.
Pesa kutolewa na watanzania ni kitu kimoja, uwepo wa kiongozi anayeogopwa na mwenye msimamo mwenye kutumia vizuri pesa za wananchi ni kitu kingine tofauti kabisa.Wacha kelele hiyo pesa iliyojenga hayo maghorofa ni yawalipa kodi watanzania, JPM hakuitoa mfukoni kwake, hapa anapongezwa kwa usimamizi.
Pesa kutolewa na watanzania ni kitu kimoja, uwepo wa kiongozi anayeogopwa na mwenye msimamo mwenye kutumia vizuri pesa za wananchi ni kitu kingine tofauti kabisa.
Msisitizo wa nidhamu ya matumizi kuanzia juu kabisa ndio sifa ya JPM.
Ulitegemea nikuorodheshee Watanzania wote? What a cheap comment.Hao uliowataja ni asilimia ngapi ya watanzania?
Cha muhimu watu wanakabidhiwa majengo yao, haya mengine ni mabishano tu yasiyo na msingi.You’re misinformed, au unaamua kupotosha. Pole.
Ni kweli kila mtu anastahili kuishi kwa haki uhuru na amani,lakini ujue pia kuliko kuhatarisha maisha ya abiria wengi kwenye basi inaruhisiwa kumpitia bodaboda mwenye abiria moja kuliko kumkwepa huku ukihatariaha maisha ya abiria wengiUlitegemea nikuorodheshee Watanzania wote? What a cheap comment.
For your information, kila Mtanzania anastahili kuishi kwa haki, uhuru na amani. Every individual deserves to be treated equally.
Ebu taja hiyo sheria inayoruhusu huo upuuzi wakoNi kweli kila mtu anastahili kuishi kwa haki uhuru na amani,lakini ujue pia kuliko kuhatarisha maisha ya abiria wengi kwenye basi inaruhisiwa kumpitia bodaboda mwenye abiria moja kuliko kumkwepa huku ukihatariaha maisha ya abiria wengi
Ebu njoo na unachokifahamu
Ebu taja hiyo sheria inayoruhusu huo upuuzi wako
Wajitahidi kuyatunza, yako katikati ya mji yanapendezesha taswira ya jiji, sio baada ya miezi michache yaje kuonekana kama yalijengwa mwaka 47.