GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,566
- 4,616
Nakumbuka maghorofa ya NHC, Ilala,Buguruni,Tandika, Keko Urafiki n.k.Wajitahidi kuyatunza, yako katikati ya mji yanapendezesha taswira ya jiji, sio baada ya miezi michache yaje kuonekana kama yalijengwa mwaka 47.
yalipofunguliwa miaka ya sabini yalivyokuwa kivutio na kubadilisha mandhari ya mji wakati huo....Nenda kaangalie sasa yanavyoonekana, utafikiri muda wote nchi ilikuwa na iko vitani hadi leo.