Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
 
bum bam..
 

Attachments

  • bum bam.jpeg
    bum bam.jpeg
    30.3 KB · Views: 1
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜€๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lisu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na Kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
Shame! Shame! Shame! Very disgracing to NEC.
 
Back
Top Bottom