Wananchi hatuitaki CHADEMA

Sangarara

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
13,100
5,649
Kuna upotoshaji mkubwa sana unafanyika hivi sasa ambao unafanyika katika namna ya hatari sana, naiweza kuifafanisha namna hiyo sawa sawa na mtu anaesema moto ni joto au upofu ni usingizi. Wanasiasa waliomadarakani wanajaribu kuyawekea mahitaji ya wananchi dhana ya kisiasa.

Wakati wananchi wanasema tunataka Mfumo bora wa elimu watawala wanasema CHADEMA haiwezi kuuleta, sababu DR SLAA Aliiba pesa kanisani.

Wananchi wanasema tunataka mfumuko wa bei udhibitiwe, watawala wanasema CHADEMA haiwezi kudhiti mfumuko wa bei sababu MBOWE ni DJ

Wananchi wanasema tunataka huduma bora za afya, watawala wanasema, DR Slaa anampenda sana Josephine.

Wananchi walia wanakufa njaa, watawala wanasema, CHADEMA ni chama cha Kichaga.

Wananchi wanapiga kelele wanalalamika mariasiri za Taifa letu zinanufaisha wachache na nyingi zinaibiwa na wageni, watawala wetu wanasema Ushindi ni Lazima.

Naomba tukumbushane historia mbichi kabisa, waliomfurumusha Hussein Mubarak kutoka Madarakani sio wanasiasa, Kijana aliyejichoma moto tunisia na kuacha laana nyuma yake hakuwa analalamikia wizi wa kura, waliomkamata Gadafi kwenye mtaro wa daraja walikuwa hawajebaba bendera ya chama chochote kile cha siasa, Hata sasa huko Siria wananchi hawapiganii kuundwa katika mpya wala kuwa na tume huru ya Uchaguzi.

Wito wangu kwa viongozi wa CCM ni huu ufuatao.
Kwanza, kuna ushahidi wa kutosha kwamba hivi sasa duniani, mabadiriko yanatokea kwa kasi ambayo haijawahi kutokea huko nyuma katika kila nyanja ya maisha.

Pili na mwisho, Muda si mrefu watanzania watagundua kwamba wanachokihitaji sio katiba mpya na wala sio tume huru ya uchaguzi wala sio maridhiano ya kitaifa ya namna yoyote ile wala sio ushindi wa wagombea wao.

Narudia tena, Punde kidogo, upepo wa mabadiriko utabidiri mkondo wake, watu watakapoamua kuweka magwanda na kuachana na ustaarabu wa kuonyeshana alama ya V sijui mtawaambia nini.
 
Kiukweli nami naungoja kwa hamu kubwa wakati huo kama mlinzi angojeavyo asubuhi, siku inakuja tena inafanya upesi sana machop hayataambiwa tazama wala masikio sikia. Tuombe uzima.
 
Kiongozi hebu nifafanulie kidogo. Hivi mti ukikauka unaangalia majani peke yake bila kujua kama mti wote una athari?

Mkuu wa mkoa akitumia vibaya mali ya umma (na wanafanya sana) wananchi watamfanya nini wakati ni mteule wa rais? Mkurugenzi wilaya akiboronga mambo watu watanyaje wakati ni mteule wa rais? Mbunge akiamua kuchapa usingizi bungeni kwa miaka yote mitano wapiga kura wake watamfanya nini wakati katiba inasema kilichoenda kwa mganga hakirudi? Jaji mkuu akinyamaza wakati haki za binadamu zinakiukwa mtanfanya nini wakati kapewa TOR na rais?

Wananchi wafanye nini wakati nchi inayoendeshwa kama ofisi moja itakavyoona 'inafaa'?
 
Maneno ya namna hii huwa yanapatikana kwa akina mama waimba taarabu! majungu, majungu! Huwezi kutetea CCM kama unajua hali ya nchi hii ilivyo mbaya!
 
Maneno ya namna hii huwa yanapatikana kwa akina mama waimba taarabu! majungu, majungu! Huwezi kutetea CCM kama unajua hali ya nchi hii ilivyo mbaya!

Kwenye Msafara wa Mamba na kenge wamo
 
Mkuu CCM wameishiwa hoja ndo maana wanaongea pumba, tena wanamuogopa Slaa kuliko hata wakwe zao waulize watakwambia. kimsing Dr Slaa ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa nadhani umeona Arusha need more

KWI KWI KWI KWII, teh teh teh. Wishful thinking!
 
Kuna upotoshaji mkubwa sana unafanyika hivi sasa ambao unafanyika katika namna ya hatari sana, naiweza kuifafanisha namna hiyo sawa sawa na mtu anaesema moto ni joto au upofu ni usingizi. Wanasiasa waliomadarakani wanajaribu kuyawekea mahitaji ya wananchi dhana ya kisiasa.

Wakati wananchi wanasema tunataka Mfumo bora wa elimu watawala wanasema CHADEMA haiwezi kuuleta, sababu DR SLAA Aliiba pesa kanisani.

Wananchi wanasema tunataka mfumuko wa bei udhibitiwe, watawala wanasema CHADEMA haiwezi kudhiti mfumuko wa bei sababu MBOWE ni DJ

Wananchi wanasema tunataka huduma bora za afya, watawala wanasema, DR Slaa anampenda sana Josephine.

Wananchi walia wanakufa njaa, watawala wanasema, CHADEMA ni chama cha Kichaga.

Wananchi wanapiga kelele wanalalamika mariasiri za Taifa letu zinanufaisha wachache na nyingi zinaibiwa na wageni, watawala wetu wanasema Ushindi ni Lazima.

Naomba tukumbushane historia mbichi kabisa, waliomfurumusha Hussein Mubarak kutoka Madarakani sio wanasiasa, Kijana aliyejichoma moto tunisia na kuacha laana nyuma yake hakuwa analalamikia wizi wa kura, waliomkamata Gadafi kwenye mtaro wa daraja walikuwa hawajebaba bendera ya chama chochote kile cha siasa, Hata sasa huko Siria wananchi hawapiganii kuundwa katika mpya wala kuwa na tume huru ya Uchaguzi.

Wito wangu kwa viongozi wa CCM ni huu ufuatao.
Kwanza, kuna ushahidi wa kutosha kwamba hivi sasa duniani, mabadiriko yanatokea kwa kasi ambayo haijawahi kutokea huko nyuma katika kila nyanja ya maisha.

Pili na mwisho, Muda si mrefu watanzania watagundua kwamba wanachokihitaji sio katiba mpya na wala sio tume huru ya uchaguzi wala sio maridhiano ya kitaifa ya namna yoyote ile wala sio ushindi wa wagombea wao.

Narudia tena, Punde kidogo, upepo wa mabadiriko utabidiri mkondo wake, watu watakapoamua kuweka magwanda na kuachana na ustaarabu wa kuonyeshana alama ya V sijui mtawaambia nini.

Kwanza ningetaka kujua ww ni nani ila kwa ufupi ningesema ww ni Mipasho ya MAGAMBA.Nikuulize kuwa ww nani alikwambia kuwa Watz hawaitaki CDM.Na ni nani kasema CDM ni ya Wachaga.Acha kuwa na fikra potofu.Watz tushajanjaruka na hatutaki Propaganda.Kati ya CDM na CCM ni nani chama cha Familia.Obvious ni CCM.Kwa ufupi angalia Arumeru, Eti mpeni SIOI ubunge ana majukumu ya kifamilia.Kwa ni mtanzania yupi asiekuwa na majukumu ya kifamilia.Ningekushauri uwe na fikra endelevu, kwanza noi bora ukafanya Research. WITHOUT RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK. CCM ndio chama cha familia,na kurithishana au ww Huoni.ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO YA KCCM.
 
Kwanza ningetaka kujua ww ni nani ila kwa ufupi ningesema ww ni Mipasho ya MAGAMBA.Nikuulize kuwa ww nani alikwambia kuwa Watz hawaitaki CDM.Na ni nani kasema CDM ni ya Wachaga.Acha kuwa na fikra potofu.Watz tushajanjaruka na hatutaki Propaganda.Kati ya CDM na CCM ni nani chama cha Familia.Obvious ni CCM.Kwa ufupi angalia Arumeru, Eti mpeni SIOI ubunge ana majukumu ya kifamilia.Kwa ni mtanzania yupi asiekuwa na majukumu ya kifamilia.Ningekushauri uwe na fikra endelevu, kwanza noi bora ukafanya Research. WITHOUT RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK. CCM ndio chama cha familia,na kurithishana au ww Huoni.ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO YA KCCM.

umetoa povu kabla hujelewa dhima ya mtoa mada mdau.
 
mkuu u r among wise people, the only challenge is the title of ur thread which many wouldn't want to hear. Unajua katika kila jambo kuna kisababish whether obvious or hidden. Kwa watz CDM inaonekana kama a means to achive the change we want. Tukianza individual mvnt kushndwa ni tarajio, Ila Though CDM WE CAN! Together we CAN. MUNGU MBARIKI DR SLAA NA WANACDM WOTE, CCM ILAANIWE MILELE!
 
Hiki Chama cha Mapinduzi kimeshindwa kufanya mapinduzi yoyote ya kimaendeleo kwa miaka zaidi ya 50 kikiwa kimeshika nchi,kilichofanya na kinachoendelea kufanya ni kuendelea kuziba viraka vya kiuchumi,kijamii na kiutawala bila kuwa na njia zozote za kuleta mapinduzi ya kweli.
Hayati Mwl. Nyerere na Karume na mashujaa wengine walipokuwa wanapigania uhuru wa Tanzania ya sasa hawakuweka vyama mbele halafu wakakaa nyuma yake wakitegemea uhuru uletwe na kikundi kidogo cha watu wanaofanya vikao na mikutano ya mara kwa mara.
Tukumbuke Nyerere hakupenda kubweteka kama wanasiasa wa leo bali aliendelea kupenda aitwe Mwalimu akifanya kazi kuleta uhuru na maendeleo kwa kadri ya hali za kipindi hiko na uwezo wake.Sio hawa maafande wanaopenda kuitwa Dr bila kuusomea wala kuwa na taaluma.
Leo CCM inaendelea kuimba wimbo ule ule wa Uhuru kikijitahidi kutumia gharama nyingi kuwashawishi wananchi kwamba bado wanakihitaji na kuweka msisitizo kwamba kilimletea mtanzania uhuru huku ikionekana wazi kimeshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana miaka 50 iliyopita.Hata misingi aliyoweka Nyerere ya mapinduzi ya kweli ya kumkwamua mtanzania na wale maadui wa3 ujinga,umasikini na maradhi bado haijatekelezwa.
Mapinduzi ya kweli hayataletwa na vyama vya siasa pekee bali mtanzania wa kawaida anapaswa kuchukua hatua na kubadilisha mfumo huu mzee mambo ili kuyaleta mapinduzi ya kweli.
 
Kuna upotoshaji mkubwa sana unafanyika hivi sasa ambao unafanyika katika namna ya hatari sana, naiweza kuifafanisha namna hiyo sawa sawa na mtu anaesema moto ni joto au upofu ni usingizi. Wanasiasa waliomadarakani wanajaribu kuyawekea mahitaji ya wananchi dhana ya kisiasa.

Wakati wananchi wanasema tunataka Mfumo bora wa elimu watawala wanasema CHADEMA haiwezi kuuleta, sababu DR SLAA Aliiba pesa kanisani.

Wananchi wanasema tunataka mfumuko wa bei udhibitiwe, watawala wanasema CHADEMA haiwezi kudhiti mfumuko wa bei sababu MBOWE ni DJ

Wananchi wanasema tunataka huduma bora za afya, watawala wanasema, DR Slaa anampenda sana Josephine.

Wananchi walia wanakufa njaa, watawala wanasema, CHADEMA ni chama cha Kichaga.

Wananchi wanapiga kelele wanalalamika mariasiri za Taifa letu zinanufaisha wachache na nyingi zinaibiwa na wageni, watawala wetu wanasema Ushindi ni Lazima.

Naomba tukumbushane historia mbichi kabisa, waliomfurumusha Hussein Mubarak kutoka Madarakani sio wanasiasa, Kijana aliyejichoma moto tunisia na kuacha laana nyuma yake hakuwa analalamikia wizi wa kura, waliomkamata Gadafi kwenye mtaro wa daraja walikuwa hawajebaba bendera ya chama chochote kile cha siasa, Hata sasa huko Siria wananchi hawapiganii kuundwa katika mpya wala kuwa na tume huru ya Uchaguzi.

Wito wangu kwa viongozi wa CCM ni huu ufuatao.
Kwanza, kuna ushahidi wa kutosha kwamba hivi sasa duniani, mabadiriko yanatokea kwa kasi ambayo haijawahi kutokea huko nyuma katika kila nyanja ya maisha.

Pili na mwisho, Muda si mrefu watanzania watagundua kwamba wanachokihitaji sio katiba mpya na wala sio tume huru ya uchaguzi wala sio maridhiano ya kitaifa ya namna yoyote ile wala sio ushindi wa wagombea wao.

Narudia tena, Punde kidogo, upepo wa mabadiriko utabidiri mkondo wake, watu watakapoamua kuweka magwanda na kuachana na ustaarabu wa kuonyeshana alama ya V sijui mtawaambia nini.
Heading yako haina correspondence na content. Iedit.
 
Title inapotofautiana na maudhui tarajia kuwa-mislead wasomaji!

Nakomaza watu akili mkuu. watu wanatakuwa kuwa na uwezo wa kusimamia wanachokiamini kuanzia kichwani kwanza sio matumboni na mifukoni. Na ni lazima tuitahadhirishe CCM ili ijue ukubwa wa mashtaka yetu.
 
Kwanza ningetaka kujua ww ni nani ila kwa ufupi ningesema ww ni Mipasho ya MAGAMBA.Nikuulize kuwa ww nani alikwambia kuwa Watz hawaitaki CDM.Na ni nani kasema CDM ni ya Wachaga.Acha kuwa na fikra potofu.Watz tushajanjaruka na hatutaki Propaganda.Kati ya CDM na CCM ni nani chama cha Familia.Obvious ni CCM.Kwa ufupi angalia Arumeru, Eti mpeni SIOI ubunge ana majukumu ya kifamilia.Kwa ni mtanzania yupi asiekuwa na majukumu ya kifamilia.Ningekushauri uwe na fikra endelevu, kwanza noi bora ukafanya Research. WITHOUT RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK. CCM ndio chama cha familia,na kurithishana au ww Huoni.ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO YA KCCM.
Nakuhakikishia kwamba kabla ya 2015 utakuwa umeikana CHADEMA mara tatu.
 
Back
Top Bottom