Wananchi Bukombe waomba Rais Magufuli aongezewe muda wa kukaa madarakani

Duuuh,mambo hua yanaanza hivihivi.
FB_IMG_1497808737048.jpeg
 
Kama anataka hilo akomae Thornton alete noah kwa kila mtanzania.
 
Ni watu wote wa bukombe au watu wawili watatu walio pata nafasi ya kukamata mic inakuaje mseme wananchi wa bukombe semeni watu wawili watatu ndio walisema ebbo!
Wote huko ni washamba na wajinga wajinga kwani walishangilia sana
 
Yaani Bukombe nzima ndiyo mawazo yao? Yaani wamekariri Akili za kagame wa Rwanda? Wakome wambieni wapeleke ujinga wao huko porini.
 
Wore wanaodai kuongeza mda wa madaraka sijui ata kama waliitimu darasa LA saba

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Mkuu hayo Ni maoni tu Ni vile sie wazalendo na wananchi WA nchi hii tunavyoona magu inabidi aongezewe muda wa kuiongoza na kuivusha nchi hii. Suala la kusoma au kutokusoma halina mashiko katika hili. Chinese, they do not give a damn about democracy but she is the one of super power. Hata huko mnakocopy democracy wanalia daily eg.USA.
 
Tutamwongezea muda tu maana hata huko masasi walipoomba che mkapa aongezewe muda tukamwongezea...na Jk naye huko bwaga moyo walipo liomba bunge libadili katiba ili aongezewe kipindi kutawala aliongezewa...
 
Wananchi wa vijiji vya Bulangwa na Katente mkoani Geita,wameliomba Bunge la Tanzania kufanya marekebisho ya muda wa ukomo wa urais kutoka miaka kumi ya sasa hadi miaka ishirini ili kumuwezesha Rais Dk.John Pombe Magufuli kuendelea kubakia madarakani.

Kwani asipoongezewa muda hawawezi kukaa nae huko kwenye vijiji vyao kwa kuwa na madaraka katika ngazi hizo?
 
Wananchi wa vijiji vya Bulangwa na Katente mkoani Geita,wameliomba Bunge la Tanzania kufanya marekebisho ya muda wa ukomo wa urais kutoka miaka kumi ya sasa hadi miaka ishirini ili kumuwezesha Rais Dk.John Pombe Magufuli kuendelea kubakia madarakani.

Wananchi hao wametoa ushauri huo katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na mbunge wa jimbo la bukombe mh. Dotto biteko kwa ajili ya kumpongeza Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa namna alisimamia sekta ya madini,mkutano ambao umehudhuriwa na Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mh.Costantine Kanyasu.

Akiwahutubia wananchi,Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya Nishati na Madini Mh. Dotto Biteko,amesema kazi ya kupigania rasilimali za taifa inayofanywa na Rais Dk. John Pombe Magufuli si ya lelemama,huku Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mh. Kanyasu akisema serikali ya awamu ya tano haiwachukii wawekezaji, bali inawachukia waporaji wa raslimali za nchi.

Ripoti ya kamati ya pili ya mchanga wa madini wa Makinikia,iliyowasilishwa Juni 12 mwaka huu kwa Rais Magufuli na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Prof.Nehemiah Ossoro ilibaini taifa kupoteza shilingi Trilioni 252 kupitia usafirishaji wa mchanga wa madini ya makinikia nje ya nchi kuanzia mwaka 1998 hadi kufikia mwaka huu,huku ikiwahusisha baadhi ya mawaziri wa zamani wa nishati na madini waliohusika kuingia mikataba mibovu iliyoisababishia serikali hasara.
Geita ndo NYUMBANI,wenye mwana wanampigia CHAPUO MTOTO WAO
 
_20170413_141322.JPG

Walianza hawa,wamefata watu wa Geita mkoa ambao una wilaya ya Chattle,kama mtakumbuka hata NKAPA kuna watu walijipendekeza ETI aongezewe muda wa kubaki Magogoni,kilichotokea leo MNALIA MAKINIKIA,na kuna viumbe walisema JK aongezewe muda,ila hili la JPM limenishtua maana watu wametoa hiyo hoja mapema sana hata kipindi cha I hakijaisha,huenda yeye mwenyewe nae ANAPENDA
 
Wananchi wa kijiji. Teh teh teh
elimu yao sidhani km inafika darasa la 7.
Hawajui km kubadilisha katiba ni kosa? Watembelee Burundi wakaone. Wananchi km hawa ni mzigo kwa taifa. Ngozi nyeusi ni majanga sana. Mbona wenzetu huu ujinga haupo? Afrika tunasafari ndefu sana.

Ujinga sio tusi, ila inafaa ujielimishe.
Jina lako lenyewe linakushtaki, hivi unasubiria ndani akasaidie jamii yako ijitambue.

Wewe wamekusomesha na ushamba wao huohuo badala ya kwenda kuwasaidia unawadharau.

Hujitambui
 
Ujinga sio tusi, ila inafaa ujielimishe.
Jina lako lenyewe linakushtaki, hivi unasubiria ndani akasaidie jamii yako ijitambue.

Wewe wamekusomesha na ushamba wao huohuo badala ya kwenda kuwasaidia unawadharau.

Hujitambui
Shule zilijengwa za nn? Waache waandamane mpaka wachoke. Waende wakamuulize mwenyekiti wao wa mtaa na walimu wao watawapa jibu. Si lazima nifike huko kutoa elimu.
Dogo ulimwengu wa sasa wa sayansi na teknolojia wanashindwa kujifunza kuhusu masuala ya katiba. Wengine wanamisimu mikubwa kama mshamba huyu spencer, kazi kuingia facebook, whatsapp na kuangalia picha za uchi. Watu wote hao hakuna mwenye akili hata mmoja?
Bora hata mm Masanyiwa. Ww spencer-mke wa mzungu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
tupe tathimini tu ya wananchi wenye elimu ya darasa la saba ni asilimia ngapi achana na hilo idadi ya wakaazi wanaojua kusoma na kuandika ni aslimia ngapi..basi
 
tupe tathimini tu ya wananchi wenye elimu ya darasa la saba ni asilimia ngapi achana na hilo idadi ya wakaazi wanaojua kusoma na kuandika ni aslimia ngapi..basi
Kwa mtu mwwnye akili timamu na ni educated hawezi kufanya ujinga wa kuandamana ili kiongozi fulani aongezewe muda.
Hiyo haipo hata km angekuwa malaika. Inafika wakati wazungu wanatudharau sana, unafikiri kwa nn walitufanya watumwa? Kwa akili hizi hizi.
 
Hivi Bukombe ndio wapi? Nyie CCM mwambie mzee michezo hiyo ya harakati zake za pimbi huwa mwisho wake mbaya akitaka kujua watanzania ni wakorofi mwambieni alete utusi n uhutu wa Rwanda hapa kwenye nchi yetu.... Hao wajinga anaowaleta akamuulize Komandoo zenji
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom