Wananchi Buguruni Dar walishwa vibudu vya kuku

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Watendaji wa ofisi ya Buguruni wilayani Ilala hivi karibuni walimkamata Ali Ibrahim aliyekutwa na vibudu vya kuku 79 akiwauzia wafanyabiashara wanaokaanga chipsi na kuku katika maeneo hayo.

Akizungumzia hilo, mtendaji wa kata wa Buguruni, Remmy Mishekh anakiri mtuhumiwa kufikishwa katika ofisi yake akiwa na na vibudu hivyo kwenye viroba.

Chanzo: gazeti la Mwananchi

Huyu kamanda ameamua kuwamaliza kimya kimya! Sijui anamwabudu Mungu yupi!.
 
Hilo linajulikana miaka mbona, wauza chips mjini wengi wao wanauza vibudu na kuku waliochinjwa,
Wafugaji kwenye mabanda hawatupi kuku aliekufa wanasubiri wateja wao wanawauzia kwa discount, nilishaacha kula nyama au kuku sehemu yyte zaidi ya home tu
 
Shauri yenu mnaokula nyama acha mle vibudu hasa Bitoz nikimwambia nikuletee kuku wa mkoani anajidai anakula chips kuku kumbe vibudu
 
Shauri yenu mnaokula nyama acha mle vibudu hasa Bitoz nikimwambia nikuletee kuku wa mkoani anajidai anakula chips kuku kumbe vibudu
 
Du ndo mana siku hisi watu wananawiri tu kwa kula mtaani! Kumbe kitu cha kibudu
 
Watendaji wa ofisi ya Buguruni wilayani Ilala hivi karibuni walimkamata Ali Ibrahim aliyekutwa na vibudu vya kuku 79 akiwauzia wafanyabiashara wanaokaanga chipsi na kuku katika maeneo hayo.

Akizungumzia hilo, mtendaji wa kata wa Buguruni, Remmy Mishekh anakiri mtuhumiwa kufikishwa katika ofisi yake akiwa na na vibudu hivyo kwenye viroba.

Chanzo: gazeti la Mwananchi

Huyu kamanda ameamua kuwamaliza kimya kimya! Sijui anamwabudu Mungu yupi!.

Mungu atunusuru, maana wageni wanatumaliza na sisi kwa sisi twamalizana
 
Na kama ukiagiza chakula sehemu, mfano ugali ukakuta nyama ni nyingi sana kupita kiasi lakini ugali ni mdogo... Tia shaka.
 
Na kama ukiagiza chakula sehemu, mfano ugali ukakuta nyama ni nyingi sana kupita kiasi lakini ugali ni mdogo... Tia shaka.
mshikaji hapo juu anasema ndo maana watu wananawiri kwa kula vibudu, na wewe hutaki kunawiri?
 
Back
Top Bottom