Mbona visima vinaendelea kujengwa au hao walio kuulizia ni wale wanao kaa Dar akina Sioi...
bado wanasubiri za mbayuwayu:
====
- Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
- Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
- Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
- Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
- Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
- Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
- Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
- Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
- Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
- Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
- Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
- Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
- Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
- Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
- Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
- Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
- Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
- Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
- Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
- Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
- Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
- Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
- Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
- Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
- Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
- Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
- Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
- Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
- Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
- Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
- Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
- Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
- Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
- Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
- Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
- Kulinda haki za walemavu - Makete
- Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
- Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
- Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
- Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
- Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
- Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
- Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
- Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
- Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
- Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
- Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
- Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
- Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
- Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
- Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
- Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
- Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
- Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
- Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
- Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
- Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
- Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
- Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
- Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
- Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
- Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
- kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
- Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
- Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
- Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
- Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
- Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
- Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
Mkuu waulize tena maswali wakati yeye mwenyewe ndio alitoa ahadi kuwa atashusha bei ya sukari.
Ama kweli, "Mtu Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake haumtoki". Kwahiyo kudanganya kwa Mkwerre ni bora kuliko wa Nassari? Hivi Wanaarumeru Mashariki wakishushiwa bei ya sukari ilhali Watz wengine bei inaendelea kupaa, ndio utakuwa umetatua tatizo la Watz? Kipi bora, kushusha bei ya sukari nchini kote au kushusha Arumeru Mashariki tu? Na kama nchi nzima bei haijashuka, wa kumuuliza ni Nassari au Mkwerre na timu yake ya Magamba? Mbona unakuwa kama sio m.p.u.m.b.a.v.u vile???????????Wewe kijana mbona unaruka ruka? Nyie si mnasema sio waongo?! vipi tena kujitetea huko?
Sasa mmeshindwa kuteleza ahadi ndogo tu, je tukiwapa nchi nzima si ndo itakuwa kulalamika na kulinganisha mifano ambayo haihusiki!.
Ndugu yangu naomba ukubaliane na mimi tu kwamba mbunge kadanganya ili apate ubunge sawa?
sema basi ndio
Umbea mwingine si mzuri. Je waweza kutujuza ni wananchi wa kijiji/Kata/Tarafa gani na mkutano wao wa kutoa madai hayo ulifanyikia wapi, na lini?Mimi nipo Arumeru mashariki, madai kama hayo sijayasikia.Nilitegemea ungemuliza Kiwete maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi na si kuulizia sukari.Wanabodi.Habari tulizozipata kutoka kwa Wananchi wa Arumeru Mashariki, wanaomba kuuliza mbunge wao Joshua Nassari kafikia wapi kwenye ahadi yake aliyotoa wakati wa kampeni Arumeru Mashariki.Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari alitoa ahadi kwa wapiga kura wake Wananchi wa Arumeru Mashariki, kuwa wakimchagua kuwa mbunge wao Arumeru Mashariki atashusha bei ya sukari ndani ya miezi miwili.Wananchi wapenda maendeleo Arumeru Mashariki wanahoji lini bei ya sukari itashuka kwenye jimbo lao.
Ama kweli, "Mtu Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake haumtoki". Kwahiyo kudanganya kwa Mkwerre ni bora kuliko wa Nassari? Hivi Wanaarumeru Mashariki wakishushiwa bei ya sukari ilhali Watz wengine bei inaendelea kupaa, ndio utakuwa umetatua tatizo la Watz? Kipi bora, kushusha bei ya sukari nchini kote au kushusha Arumeru Mashariki tu? Na kama nchi nzima bei haijashuka, wa kumuuliza ni Nassari au Mkwerre na timu yake ya Magamba? Mbona unakuwa kama sio m.p.u.m.b.a.v.u vile???????????
No, ukweli ni kwamba pale Benki Kuu kuna kitu kinaitwa EPA ndio kilifichuliwa, wahusika wakuu ni Mkwerre na vidagaa wengine kama Mweka Hazina wa Magamba kule Kigoma! Haikuishia hapo tu, kuna twiga walitoroshwa, MEREMETA, TANGOLD, RICHMOND/DOWANS, Kukodi Ndege aina ya Airbus pale ATCL, Kushonesha sare kule China, Ununuzi tata wa Rada na Ndege ya Rais, Mikataba ya unyonyaji kwenye Madini kama ule wa Buzwagi, jamani wengine endeleeni nimechoka kuandika! Ila yote haya yalifanywa na ANNAEL na wala sio CCM, CHADEMA, CHAUSTA, JAHAZI ASILIA, CUF, UDP, UDPD, APPT MAENDELEO, NCCR-MAGEUZI, CCK, DP, n.k! Pambaf zako!Usiseme wananchi sema wewe pekee yako. Sisi bado tunamatumaini na CCM sio CHADEMA. Nasikia kunaviongozi wa chadema walishawahi kuchoma Benk kuu. Hivi ni kweli?
Kwanza hicho kwenye italic ndio nini? Pili, umenisikia nikiongea? Mimi naandika ndugu, mbona umeanza kuchanganyikiwa? Tatu, wewe ndio unaandila usichokijua, kuhoji ahadi 1 ambayo mtekelezaji hana hata miezi 3 ofisini na kuacha ahadi zaidi ya 300 za Mkwerre aliyeko madarakani kwa miaka 7 sasa ni utimamu wa akili kweli? Au nyie ndio mahawara wa Mkwerre mnaotoka mapovu kumtetea mtu mwenye akili butu kuliko za maiti?Wewe Ndugu mbona unaongea kitu usicho kijua? Je kunauongo mkubwa na mdogo?
Ninashukuru kwa kukubali kuwa alindanganya.
Kwanza hicho kwenye italic ndio nini? Pili, umenisikia nikiongea? Mimi naandika ndugu, mbona umeanza kuchanganyikiwa? Tatu, wewe ndio unaandila usichokijua, kuhoji ahadi 1 ambayo mtekelezaji hana hata miezi 3 ofisini na kuacha ahadi zaidi ya 300 za Mkwerre aliyeko madarakani kwa miaka 7 sasa ni utimamu wa akili kweli? Au nyie ndio mahawara wa Mkwerre mnaotoka mapovu kumtetea mtu mwenye akili butu kuliko za maiti?
Mkuu kwa hiyo Joshua Nassari kapata Excuse? Sasa kwanini mnawadanya wananchi kuwa mtataka kuwakomboa wakati ni uongo.
No, ukweli ni kwamba pale Benki Kuu kuna kitu kinaitwa EPA ndio kilifichuliwa, wahusika wakuu ni Mkwerre na vidagaa wengine kama Mweka Hazina wa Magamba kule Kigoma! Haikuishia hapo tu, kuna twiga walitoroshwa, MEREMETA, TANGOLD, RICHMOND/DOWANS, Kukodi Ndege aina ya Airbus pale ATCL, Kushonesha sare kule China, Ununuzi tata wa Rada na Ndege ya Rais, Mikataba ya unyonyaji kwenye Madini kama ule wa Buzwagi, jamani wengine endeleeni nimechoka kuandika! Ila yote haya yalifanywa na ANNAEL na wala sio CCM, CHADEMA, CHAUSTA, JAHAZI ASILIA, CUF, UDP, UDPD, APPT MAENDELEO, NCCR-MAGEUZI, CCK, DP, n.k! Pambaf zako!
Hata Mkwerre alipata "excuse" palipotokea Mtikisiko wa Uchumi Duniani, Ukame na cha ajabu hata Tsunami na Milipuko ya Nuclear kule Japan ****** ali-capitalize na kupata "excuse" ingawa ukimtaiti sawasawa hajui hata hayo yote ni nini! Pia, Nassari hawezi kuonekana muongo kwani hana dola wala mamlaka ya kuwalazimisha Magamba wachape kazi, yeye kazi yake ni kuwasemea na kuwatetea Wanaarumeru. Sasa inapotokea anakowasemea hasikilizwi tatizo linakuwa la msemaji au msikilizaji? Mbona Mkwerre aliahidi "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania", au alimaanisha kwako wewe Ridhiwan na dada yako aliyefeli Mwanaasha? Kwamantiki hii, Baba yenu huyo si muongo? Mbona unaona kibanzi kwenye jicho la mwenzio wakati boriti iliyoko kwenye jicho lako mwenyewe huiangalii? Wanamagamba, msaidieni huyu ritz, kama kaishiwa na akili basi mkopesheni ikifika 2015 atawarudishia!Mkuu kwa hiyo Joshua Nassari kapata Excuse? Sasa kwanini mnawadanya wananchi kuwa mtataka kuwakomboa wakati ni uongo.
wewe arumeru mashariki na wewe wapi na wapi?acha majungu,kama kunatatizo si watauliza wenyewe.ingekuwa kuna kodi ya mdomo,serikali ingepata pesa sana.kunawatu wanwashwa umbea.wanabodi.
Habari tulizozipata kutoka kwa wananchi wa arumeru mashariki, wanaomba kuuliza mbunge wao joshua nassari kafikia wapi kwenye ahadi yake aliyotoa wakati wa kampeni arumeru mashariki.
Mbunge wa arumeru mashariki, joshua nassari alitoa ahadi kwa wapiga kura wake wananchi wa arumeru mashariki, kuwa wakimchagua kuwa mbunge wao arumeru mashariki atashusha bei ya sukari ndani ya miezi miwili.
Wananchi wapenda maendeleo arumeru mashariki wanahoji lini bei ya sukari itashuka kwenye jimbo lao.
Ni kama unamuongelea Mkono vile? Na wakati wanachoma na hatimaye kusepa, Chama cha Magamba kilikuwa wapi? Rais aliyekuwa na mamlaka ya kuwashughulikia alikuwa wa Chama gani? Na baadaye Marais waliofuata walikuwa wa Chama kipi? Sasa kama hayo yote unayoyasema yana ushahidi wa kutosha, mbona Chama cha Majambazi hakijawachukulia hatua watu hao? Au hao watu wameshafariki dunia? Kama wapo, kwanini nyie Magamba msimshinikize Mkwerre ambaye ndiye Rais wenu wa mweisho awashughulikie? Kama yote hayo yameshindikana, huoni kuwa habari yako hii ni uzushi mtupu na uzandiki uliokomaa?Mimi ninaongealea kabla hawajang'atuka (GAVANA fulani) aliichoma benki ili kupoteza kumbukumbu na wakasepa na pesa na inasemekana wakaanzisha chama fulani. Sijui ni kweli?