Huo ujumbe uende moja kwa moja kwa wana mikakati wa CCM na washauri wa chama na Serikali.
Mtakosea sana kufanya mbinu zenu za kuzorotesha Upinzani kwa kutumia mbinu za Zanzibnar huku Bara.
Kwa hulka Wazanzibari ni wapole sana lakini ni wamejaaliwa uelewa wa kisiasa. CCM imetumia njia nyingi kutaka kuuwa Upinzani Zanzibar tokea miaka ya 1995 hadi sasa lakini wameshindwa kutokana na uelewa wa siasa kwa Wazanzibari. Vyenginevyo wangekwisha potea lakini ni kinyume chake.
-Mbinu za kuwagombanisha watu kutokana na maeneo hazifai
-Mbinu za kuwabagua watu fulani hazifai
- Mbinu za kuwabambikizia jinai hazifai
- Mbinu za kujeruhi hazifai.
- Mbinu za kuwaweka watu selo na magerezani hazifai.
Mbinu hizo hapo juu zilitumiwa sana Zanzibar ili kuwatisha watu na kunyamazisha. Lakini hazikufanikiwa licha ya Upole wa Wazanzibari. Zilitumika kwa watawala na CCM wakiamini wana uwezo wa KUDHIBITI ikitokea jamii kuripuka kutokana na kwanza Uhaba wa wakaazi, Upole, kuwepo kwa mgawanyiko wa visiwa na advantage ya Zanzibar kuwa visiwa.
Watawala waliamini uwepo wa mipaka ya kibahari haiweezi kuambukiza athari upande wa Bara na kwa zaidi ya miaka 30 sasa CCM imefanya figisu Zanzibar.
Licha ya yote hayo, CCM mtambuwe kuwe Zanzibar hata hivyo ililazimika kuwe na miafaka hewa 3, na vurumai zisizoisha na wakati mwengine amani kutoweka na mshikamano kuharibiuka ili tu CCM itawale. Bara hamkujali hiyo hali na watawala walijiona salama sana. Jumuiya ya Kimataifa inajuwa hali hiyo na nyinyi mnajuwa hali hiyo. Kinachoendelea Zanzibar ni Majaaliwa tu lkn mnajuwa nafasi ya CCM inavyotegemea Dola na si wananchi. Jee mnadhani BARA inaweza ikasurvive ?
Jee BARA inaweza kuservive Dhoruba la Zanzibar?
Jibuni wenyewe
Lakini angalieni Bara kuna Makabila tofauti na Dini tofauti
Angalieni Bara hakuna Upole kuna ujinga wa siasa na uelewa mdogo
Angalieni Bara hakuna mipaka ya visiwa kuna mikoa iliyoshikana na jamii mchanganyiko
Angalieni Uwezo wa uvumilivu na hulka za watu zilivyo tofauti baina ya Bara za Zanzibar
Angalieni wingi wa watu Bara.
CHONDE CHONDE
Kamwe msijisahau mtaingamiza nchi kwa kuamini mbinu za ZANZIBAR ZITAFAA BARA KUIWEKA CCM MADARAKANI.
Hawa watu wana background tofauti, siku wakiamka itakuwa shida.
Tambueni kuazia 2010 - 2015 uelewa wa siasa umepiga hodi rasmi Bara na mwaka 2015 na kuendelea mnaona CCM inavyopata Tabu Bara.
Tafuteni njia nzuri ya kufanya siasa za kistaarabu na mujarabu kwa mujibu wa Mazingira.
Nawaombeni kuzingatia kuwa Bara sio Unguja.
Waelewa wanielewe kabla hayazuka yasioyotabirika.
Tambuweni mabadiliko ni Lazima na mikakati inatofautiana sana kutokana na Mazingira.
CCM bara inahitaji sana maridhiano kama hatua ya Kwanza na wala sio hatua ya nne kama ilivyotokea Zanzibar.
Niko tayari kukosolewa.
Kishada.
Mtakosea sana kufanya mbinu zenu za kuzorotesha Upinzani kwa kutumia mbinu za Zanzibnar huku Bara.
Kwa hulka Wazanzibari ni wapole sana lakini ni wamejaaliwa uelewa wa kisiasa. CCM imetumia njia nyingi kutaka kuuwa Upinzani Zanzibar tokea miaka ya 1995 hadi sasa lakini wameshindwa kutokana na uelewa wa siasa kwa Wazanzibari. Vyenginevyo wangekwisha potea lakini ni kinyume chake.
-Mbinu za kuwagombanisha watu kutokana na maeneo hazifai
-Mbinu za kuwabagua watu fulani hazifai
- Mbinu za kuwabambikizia jinai hazifai
- Mbinu za kujeruhi hazifai.
- Mbinu za kuwaweka watu selo na magerezani hazifai.
Mbinu hizo hapo juu zilitumiwa sana Zanzibar ili kuwatisha watu na kunyamazisha. Lakini hazikufanikiwa licha ya Upole wa Wazanzibari. Zilitumika kwa watawala na CCM wakiamini wana uwezo wa KUDHIBITI ikitokea jamii kuripuka kutokana na kwanza Uhaba wa wakaazi, Upole, kuwepo kwa mgawanyiko wa visiwa na advantage ya Zanzibar kuwa visiwa.
Watawala waliamini uwepo wa mipaka ya kibahari haiweezi kuambukiza athari upande wa Bara na kwa zaidi ya miaka 30 sasa CCM imefanya figisu Zanzibar.
Licha ya yote hayo, CCM mtambuwe kuwe Zanzibar hata hivyo ililazimika kuwe na miafaka hewa 3, na vurumai zisizoisha na wakati mwengine amani kutoweka na mshikamano kuharibiuka ili tu CCM itawale. Bara hamkujali hiyo hali na watawala walijiona salama sana. Jumuiya ya Kimataifa inajuwa hali hiyo na nyinyi mnajuwa hali hiyo. Kinachoendelea Zanzibar ni Majaaliwa tu lkn mnajuwa nafasi ya CCM inavyotegemea Dola na si wananchi. Jee mnadhani BARA inaweza ikasurvive ?
Jee BARA inaweza kuservive Dhoruba la Zanzibar?
Jibuni wenyewe
Lakini angalieni Bara kuna Makabila tofauti na Dini tofauti
Angalieni Bara hakuna Upole kuna ujinga wa siasa na uelewa mdogo
Angalieni Bara hakuna mipaka ya visiwa kuna mikoa iliyoshikana na jamii mchanganyiko
Angalieni Uwezo wa uvumilivu na hulka za watu zilivyo tofauti baina ya Bara za Zanzibar
Angalieni wingi wa watu Bara.
CHONDE CHONDE
Kamwe msijisahau mtaingamiza nchi kwa kuamini mbinu za ZANZIBAR ZITAFAA BARA KUIWEKA CCM MADARAKANI.
Hawa watu wana background tofauti, siku wakiamka itakuwa shida.
Tambueni kuazia 2010 - 2015 uelewa wa siasa umepiga hodi rasmi Bara na mwaka 2015 na kuendelea mnaona CCM inavyopata Tabu Bara.
Tafuteni njia nzuri ya kufanya siasa za kistaarabu na mujarabu kwa mujibu wa Mazingira.
Nawaombeni kuzingatia kuwa Bara sio Unguja.
Waelewa wanielewe kabla hayazuka yasioyotabirika.
Tambuweni mabadiliko ni Lazima na mikakati inatofautiana sana kutokana na Mazingira.
CCM bara inahitaji sana maridhiano kama hatua ya Kwanza na wala sio hatua ya nne kama ilivyotokea Zanzibar.
Niko tayari kukosolewa.
Kishada.