Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wanajamvi:
Yumkini baada ya msururu wa mambo ya hovyo dhidi ya serikali ya chama cha magamba bila majibu, na hoja nzito dhidi yao, wanamagamba wenyewe na/au watetezi wao humu JF wameanza kuchanganyikiwa. Wameanza kuchomekea thread zisizokuwa na kichwa wala miguu, kama vile ile moja inayosema Chadema ziiiiii bungeni
Huko ni kuchanganyikiwa!
Yumkini baada ya msururu wa mambo ya hovyo dhidi ya serikali ya chama cha magamba bila majibu, na hoja nzito dhidi yao, wanamagamba wenyewe na/au watetezi wao humu JF wameanza kuchanganyikiwa. Wameanza kuchomekea thread zisizokuwa na kichwa wala miguu, kama vile ile moja inayosema Chadema ziiiiii bungeni
Huko ni kuchanganyikiwa!