mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Ndugu zangu kila nikikaa hivi nawaza hawajamaa wanataka nini? Mara wakatae mchakato, mara waseme ni wao waasisi wa mchakato, mara waseme hakuna umuhimu wa ktba mpya mara wakubali kwa shingo upande,mara wakate draft ya rasimu asilimia zote! mara waseme wataipinga mara wachakachue mabaraza ya katiba, mara waige mavazi ya makamanda,mara wajifanye wao ndio wenye nchi, mara waseme watadumu milele...mh..mh...mh!!! ''' WANALAO JAMBO!!!''