Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Na kile pale mguuni ni kikuku au macho yangu mabovu?
hapo sio kanisani lakini pia hiyo sio nguo ya kuendea kanisani, akikaa hapo sijui itafika wapi au ndo atafunika kwa mtandioNa nyie mmezidi .
Dada wa watu kapendeza.
Hayuko uchi, matiti wala sehemu za juu za mwili hazionekani. Mapaja hayaonekani ni miguu tu na mikono inayoonekana.
Acha kufikiria na kichwa Cha chini masaa yote.
Utajiingiza kwenye matatizo ndugu.
Hayo ni madhabahu ya kanisa gani? Ni madhabahu kweli hayo au ni stage ya ukumbi?
Nasikia Wanaovaa cheni mguu wa kushoto eti wanatumiaga 071Na kile pale mguuni ni kikuku au macho yangu mabovu?
Hebu ngoja niangalie vizuriNa kile pale mguuni ni kikuku au macho yangu mabovu?
MadhabahuniNdiyo ni kikuku. Je,kuna mtu anaweza kuthibitisha hapo ni mazabauni?
Blood of Jesus na
Unataka tukuaibishe kwa picha zaidi...?Una uhakika gani hapo ni Mazabauni na siyo tu kwenye jukwaa lililopambwa kwa ajili ya shughuli maalum? Maana sijaona chochote kinachodhihirisha hapo ni Mazabauni.
kweli kabsa, maana hakuna kiashilia km hapo n madhabauni au la! na mdada mwenyew unamuona mpk ana kikukuu mguu wa kulia...Una uhakika gani hapo ni Mazabauni na siyo tu kwenye jukwaa lililopambwa kwa ajili ya shughuli maalum? Maana sijaona chochote kinachodhihirisha hapo ni Mazabauni.