Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Image copyrightREUTERS
Image captionMamba wakubwa na wadogo wote waliuawa
Kundi la wanakijiji limewaua karibu mamba 300 kwenye makao ya wamyama katika mkoa wa West Papua nchini Indonesia.
Muuaji hayo yalikuwa ni ya kulipiza kisasi kifo cha mwanamume mmoja ambaye aliuawa na mamba mmoja eneo hilo.
Maafisa na polisi wanasema kuwa hawakuweza kuzuia mauaji hayo lakini watafungua mashtaka.
Kuuliwa kwa wanyama wanaolindwa ni hatia na inaweza kusababisha kifungo nchini Indonesia.
Mwanakijiji huyo aliuawa siku ya Ijumaa asubuhi wakati alikuwa akitafuta mboga eneo la kuzalia mamba.
Mfanyakazi alisikia mtu akiitisha msaada na alipofika huko aliona mamba akimshambulia mtu.
Baada ya mazishi siku ya Jumapili, mamia kadhaa ya wanakijii wenye hasira walielekea eneo la makao ya wanyama wakiwa wamejihami kwa visu, chuma, nyundo na sururu.
Vyombo vya habari vinasema kuwa wanakijiji walilishambulia ofisi kwenye makao ya wanyama na kisha kuelekea kuwachinja mamba wote 292.
BBC
Image captionMamba wakubwa na wadogo wote waliuawa
Kundi la wanakijiji limewaua karibu mamba 300 kwenye makao ya wamyama katika mkoa wa West Papua nchini Indonesia.
Muuaji hayo yalikuwa ni ya kulipiza kisasi kifo cha mwanamume mmoja ambaye aliuawa na mamba mmoja eneo hilo.
Maafisa na polisi wanasema kuwa hawakuweza kuzuia mauaji hayo lakini watafungua mashtaka.
Kuuliwa kwa wanyama wanaolindwa ni hatia na inaweza kusababisha kifungo nchini Indonesia.
Mwanakijiji huyo aliuawa siku ya Ijumaa asubuhi wakati alikuwa akitafuta mboga eneo la kuzalia mamba.
Mfanyakazi alisikia mtu akiitisha msaada na alipofika huko aliona mamba akimshambulia mtu.
Baada ya mazishi siku ya Jumapili, mamia kadhaa ya wanakijii wenye hasira walielekea eneo la makao ya wanyama wakiwa wamejihami kwa visu, chuma, nyundo na sururu.
Vyombo vya habari vinasema kuwa wanakijiji walilishambulia ofisi kwenye makao ya wanyama na kisha kuelekea kuwachinja mamba wote 292.
BBC