Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Hali hii imetokea pale nyumba zao zilipowekwa x na pr. MAGUFULI na kuwapa siku 3 wabomoe nyumba zao, wanakijiji hao wamelalamika kwa kusema kw haiwezekani serikali hyhy iwauzie viwanja hivyo na sasa serikali hyhy iwalazmishe wabomoe nyumba zao bila malipo yyt. Wamesema hawatabomoa nyumba zao wakotayari kusagasagwa, wamesema ccm ndo inawaletea matatizo na umasikini na wamerudisha kadi na kusema ccm bas. source: habari tbc sa 2 usiku