utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Hayo ni maneno yanayozungumzwa na wananchi katika maeneo mbalimbali hasa vijiwe vya vijana mjini kigoma, ujiji. Kwa sasa wanakigoma wamepandwa zaidi na hasira baada ya vurugu za kasulu zilizosababisha wenzao kuumia kwa mabomu yaliyorushwa ktk harakati za kutuliza ghasia hadi mkutano ukavunjika.
wanachama wa chadema wameendelea kurudisha kadi za chama hicho wakidai kuwa chadema ya leo sio ile waliyokuwa wanaifahamu iliyosikiliza maoni ya wananchi, imekuwa sikio la kufa.
My take. Dr slaa aache ukaidi, apokee ushauri kwa faida yake, chama chake na nchi yake.
wanachama wa chadema wameendelea kurudisha kadi za chama hicho wakidai kuwa chadema ya leo sio ile waliyokuwa wanaifahamu iliyosikiliza maoni ya wananchi, imekuwa sikio la kufa.
My take. Dr slaa aache ukaidi, apokee ushauri kwa faida yake, chama chake na nchi yake.