WanaKagera ni wakati wetu kuishinikiza Serikali ibadili Shule ya Sekondari Ihungo kuwa chuo Kikuu

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
752
3,096
Habari wanajukwaa,

Tokea tupate Uhuru, mkoa wa Kagera haujawahi kuwa na chuo kikuu cha umma chenye hadhi. Chuo kilichopo ni Huria(OUT) ambacho kimuonekano hakina hadhi ya kuwa mkoa wa wasomi, soma -> HAYA: The most intelligent people in Africa (Eastward)

Nimeona picha za majengo ya shule ya Sekondari Ihungo yaliyokarabatiwa kutokana na tetemeko la ardhi. Yale majengo yanashawishi na kuvutia kuwa ya hadhi ya chuo kikuu. Serikali mnashindwa nini kubadili matumizi nasi wanakagera tukapata chuo kikuu cha Umma?

Kuna chuo binafsi tawi la SAUT, kile hakiwezi kutosheleza mkoa wetu, kwanza majengo yake hayana hadhi hata robo ya haya ya Ihungo SS.

Tuifanye Ihungo iwe kitovu cha elimu Kagera.

Napendekeza chuo kiitwe Chuo Kikuu cha Sayansi Kagera (Kagera University of Science-KUS)

Karibuni kwa mchango.

Picha za majengo baada ya ukarabati kwa 80%
Ihungo2.jpg


Ihungo1.jpg
 
Kwani primary hawastaili majengo mazuri?
Acheni zenu tena bora iwe chekechea
 
Daaah..
Kwa hiyo siku pakichakaa basi pashushwe hadhi kuwa OLevel??

[HASHTAG]#ChuoKikuu[/HASHTAG] [HASHTAG]#Siyo[/HASHTAG] [HASHTAG]#Majengo[/HASHTAG] [HASHTAG]#Pekee[/HASHTAG]
 
Habari wanajukwaa,

Tokea tupate Uhuru, mkoa wa Kagera haujawahi kuwa na chuo kikuu cha umma chenye hadhi. Chuo kilichopo ni Huria(OUT) ambacho kimuonekano hakina hadhi ya kuwa mkoa wa wasomi, soma -> HAYA: The most intelligent people in Africa (Eastward)

Nimeona picha za majengo ya shule ya Sekondari Ihungo yaliyokarabatiwa kutokana na tetemeko la ardhi. Yale majengo yanashawishi na kuvutia kuwa ya hadhi ya chuo kikuu. Serikali mnashindwa nini kubadili matumizi nasi wanakagera tukapata chuo kikuu cha Umma?

Kuna chuo binafsi tawi la SAUT, kile hakiwezi kutosheleza mkoa wetu, kwanza majengo yake hayana hadhi hata robo ya haya ya Ihungo SS.

Tuifanye Ihungo iwe kitovu cha elimu Kagera.

Napendekeza chuo kiitwe Chuo Kikuu cha Sayansi Kagera (Kagera University of Science-KUS)

Karibuni kwa mchango.

Picha za majengo baada ya ukarabati kwa 80%
View attachment 726559

View attachment 726560

Ibaki kuwa sekondari, ila waifanye ya vipaji maalumu
 
Serikali haiwezi kufanya kizuri kagera yaani mkoa huo sio sehemu ya tz jinsi unavyotengwa
 
..Je, Kagera kuna sekondari za kutosha?

..Kagera kuna vyuo vya ufundi/veta vya kutosha?

..Kabla ya kuanzisha chuo kikuu ni vizuri mkajiridhisha kwamba mna sekondari za kutosha na imara kitaaluma zitakazoweza kutoa wanafunzi wa kujiunga na chuo kikuu.

..Vilevile wahitimu wa vyuo vikuu ni vigumu kujiajiri au kuajiriwa ukilinganisha na wahitimu wa vyuo vya ufundi.
 
Kwa mujibu wa bandiko lako kila Mkoa hasa ile mikongwe ina chuo kikuu kasoro Mkoa wa kagera. Si Shani kama ni kweli. Tabora, Rukwa, Ruvuma, Mtwara, Pwani na Lindi nazo hazina vyuo vikuu vya umma kwa Maana ya kuendeshwa na serikali.
Nakushauri kubadili hoja yako ili iwe imara zaidi.
 
Habari wanajukwaa,

Tokea tupate Uhuru, mkoa wa Kagera haujawahi kuwa na chuo kikuu cha umma chenye hadhi. Chuo kilichopo ni Huria(OUT) ambacho kimuonekano hakina hadhi ya kuwa mkoa wa wasomi, soma -> HAYA: The most intelligent people in Africa (Eastward)

Nimeona picha za majengo ya shule ya Sekondari Ihungo yaliyokarabatiwa kutokana na tetemeko la ardhi. Yale majengo yanashawishi na kuvutia kuwa ya hadhi ya chuo kikuu. Serikali mnashindwa nini kubadili matumizi nasi wanakagera tukapata chuo kikuu cha Umma?

Kuna chuo binafsi tawi la SAUT, kile hakiwezi kutosheleza mkoa wetu, kwanza majengo yake hayana hadhi hata robo ya haya ya Ihungo SS.

Tuifanye Ihungo iwe kitovu cha elimu Kagera.

Napendekeza chuo kiitwe Chuo Kikuu cha Sayansi Kagera (Kagera University of Science-KUS)

Karibuni kwa mchango.

Picha za majengo baada ya ukarabati kwa 80%
View attachment 726559

View attachment 726560
chuo kiku cha nini? prestige au??ungependekeza kiwe chuo cha ufundi , au VETA.ningekuona una akili, hayo mavyuo vikuu hayana impakact yoyote kwenye jamii maskinj kama yetu
 
Back
Top Bottom