Wanakagera ebu tuzungumzie kidogo kuhusu hifadhi ya Taifa BULIGI ambayo kwa uelewa wangu ninajua kuwa ipo wilaya ya biharamulo

Kasinja jr

JF-Expert Member
Aug 4, 2017
1,034
1,792
Wanakagera ebu tuzungumzie kidogo kuhusu hifadhi ya Taifa BULIGI ambayo kwa uelewa wangu ninajua kuwa ipo wilaya ya biharamulo mkoani kagera. Lakini kwa Sasa imehamishiwa mkoa wa GEITA wilaya ya chato na imepewa jina la hifadhi ya BULIGI-CHATO ivi kweli wahaya wenzangu na wanamkoa kagera hamuoni ili kama Ni tatizo ambalo linaurudisha nyuma mkoa wa kagera na wilaya nzima ya biharamulo? Ivi viongozi wetu ikiwa Ni wabunge pamoja na madiwani ili hawajaliona? Au mkoa wa kagera hatuna wawakilishi wa kutetea maliasili za mkoa wetu? Ni ilo tu kwa wanaoufahamu mkoa wa kagera vizuri naombeni mzungumzie kidogo kuhusu ili.
 
Wanakagera ebu tuzungumzie kidogo kuhusu hifadhi ya Taifa BULIGI ambayo kwa uelewa wangu ninajua kuwa ipo wilaya ya biharamulo mkoani kagera. Lakini kwa Sasa imehamishiwa mkoa wa GEITA wilaya ya chato na imepewa jina la hifadhi ya BULIGI-CHATO ivi kweli wahaya wenzangu na wanamkoa kagera hamuoni ili kama Ni tatizo ambalo linaurudisha nyuma mkoa wa kagera na wilaya nzima ya biharamulo? Ivi viongozi wetu ikiwa Ni wabunge pamoja na madiwani ili hawajaliona? Au mkoa wa kagera hatuna wawakilishi wa kutetea maliasili za mkoa wetu? Ni ilo tu kwa wanaoufahamu mkoa wa kagera vizuri naombeni mzungumzie kidogo kuhusu ili.
Haya maisha ya kufanyiwa fitina hayajaanza leo. Yameanza tokea enzi za kusoma kwa kuwekewa ufaulu Mkubwa ili kuwapunguza Wahaya, lakini wakapambana na wakasogea kimaisha na ndio maana watu wanaogopa hata kufanya Mambo mengine ya kimaendeleo. Hakukuwa na sababu yoyote ya kuifanya Chato na Katoro kuwa sehemu ya mkoa na wakati mahitaji yote inapata kutoka Kagera.
Maendeleo yana Chama kwa sasa
 
Mkuu wewe kwani kuna shida gani hapo, mbona hifadhi nyingi tu unakuta imechukua mikoa mitatu lakini makao makuu imewekwa mkoa mmojawapo wala hawana tabu.

Jambo lingine kama shida ni jina la Burigi kupelekwa mkoa wa Geita si tatizo, mfano kuna hifadhi ya Mpanga nyanda za juu kusini, ile hifadhi imechukua mikoa miwili Mkoa wa Mbeya na Mkoa wa Njombe lakini lakini lile jina la Mpanga lilikua upande wa Njombe lakini sasa lipo mpaka Mbeya, na kuna hifadhi nyingi zimefanywa hivo.
 
Mkuu wewe kwani kuna shida gani hapo, mbona hifadhi nyingi tu unakuta imechukua mikoa mitatu lakini makao makuu imewekwa mkoa mmojawapo wala hawana tabu.

Jambo lingine kama shida ni jina la Buligi kupelekwa mkoa wa Geita si tatizo, mfano kuna hifadhi ya Mpanga nyanda za juu kusini, ile hifadhi imechukua mikoa miwili Mkoa wa Mbeya na Mkoa wa Njombe lakini lakini lile jina la Mpanga lilikua upande wa Njombe lakini sasa lipo mpaka Mbeya, na kuna hifadhi nyingi zimefanywa hivo.
Ùū

Hapa kitu ni kuwa BURIGI sio BULIGI kieneo iko katka wilaya ya Biharamulo na toka enzi za wakoloni makao makuu na ofisi za hifadhi ziko Biharamulo mjini. Sasa huoni tatizo kuhamisha something existing kama hicho? Na ukweli haileti mantic Burigi kuwa Chato.
 
Back
Top Bottom