Wanajua jamani jinsi ya kublock msg za whasap group

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,642
1,977
Habari wataalam nifafanue kidogo ni kwamba kuna wakati huwa nalifuta faili la whasap kisha nalirudisha.

Sasa hapo ndio huwa shughuli inaanza au tuseme vita ya kiev na moscow inapoanza meseji zinaingia kama upupu.Sasa kuna utaalamu hapo wa kuzizuia hizo msg zisiingie?

Karibuni.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom