wale mamluki na masalia waliotoka chadema kwa kukashifu viongozi na kuwatukana kwa dhihaka sasa hivi wanaficha wapi nyuso zao kwani viongozi wale wale waliowatukana wanakutana nao tena wakiwa wamevaa koti la UKAWA je watoondoka au watabaki
wale mamluki na masalia waliotoka chadema kwa kukashifu viongozi na kuwatukana kwa dhihaka sasa hivi wanaficha wapi nyuso zao kwani viongozi wale wale waliowatukana wanakutana nao tena wakiwa wamevaa koti la UKAWA je watoondoka au watabaki
Walikuja bila kujua kuwa watu wako na umakini kuleta mapinduzi ya kimfumo wakadhani ni kama bado vyuoni ambapo kunakugombania umonita. Hapa ni front line kama jinsi marekani alivyouita mpambano wakumuondoa Saddam, "A war of all fronts" Ifikapo hapo huwa ni kutii amri bila maswali. Mambo ya utawala ulioje ni baada ya ushindi ambapo adui ni mfumo ufisadi na rushwa unaopiganwa na batallioni iitwayo ccm. Kushinda lazima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.