WanaJF wa MMU tumoderate jukwaa letu

Status
Not open for further replies.

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Kwa wapenzi wa Jukwaa la MMU,

Wiki hii tumefahamishwa na moderators kuwa kuanzia sasa threads zote ambazo zitakuwa posted hapa MMU zitakuwa under moderation kabla hazijawa approved kama lilivyo Jukwaa la Siasa. Moderators wameamua kufanya hivi kwa sababu kumekuwa na mlolongo wa threads zisizokuwa na maana yoyote au thread ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote ndani ya Jukwaa hili.

Wengi wamekubaliana na hii hoja japokuwa mimi nilikuwa na reservation kama itafanya kazi ipasavyo. Hata hivyo bado inaonekana baadhi ya members wanaanzisha threads ambazo naweza kusema ni feki au za kutunga na kupoteza, pamoja na mambo mengine, muda na resources za members wengine.

Mfano kuna member mmoja alinzisha thread mwezi uliopita titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."

Jana member huyo huyo akaanzisha thread nyingine titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika: "Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje? Ndiye huyu huyu member alianzisha a thead titled: "Mwenzi wangu ana mbweche kubwa.

Kwa kweli hii ni abuse ya hili Jukwaa na imetokea baada ya Moderators kusema kuwa watakuwa wana approve kila thread kabla ya kuwekwa hapa. Najua kabisa kuwa Mods hawawezi kupitia kila thread iliyoanzishwa. Kwa mantiki hiyo, kuna umuhimu wa sisi watumiaji wa Jukwaa la MMU ku moderate threads zinazowekwa hapa kwa ku report abuse kama hizi. Pia kwa faida ya hili jukwaa ni muhimu wale wanaoanzisha threads wajimoderate wenyewe kwa kuwa honest na wanachoandika badala ya ku spam hili jukwaa na stories za uongo. Kama hawawezi kutumia utashi wao kujimoderate then sisi watumiaji tufanye hivyo kwa kuwamoderate. Vingenevyo hili jukwaa litashuka hadhi yake ambayo imejengwa na members wake kwa muda mrefu.

Nashauri tusiwe tuu tunasoma threads na kupost bali pia tuwe tunaangalia threads ambazo zina walakini na kuziripoti kwa Mods. Always remember kifute chekundu cha REPORT ABUSE. Kiko pale kwa sababu za msingi. Naomba kutoa hoja.
 
Kwa kweli inaboa sana, kuna wakati ukiingia humu unasoma tu jina la mtoa mada na kufungua sababu unajua huyu hawezi toa za ajabuajabu,halafu na wale wanaojifanya sijui jirani anaomba ushauri , sijui nani nao tuwaweke kundi gani maana kwa kweli kuna wengine huwa ni waongo wakija kujibu posts huwa wanajichanhganya...mabadiliko yanaanza na sie wenyewe hakuna atakayeyaleta ....thanks EMT kwa kutukumbusha
 
Kwa kweli inaboa sana, kuna wakati ukiingia humu unasoma tu jina la mtoa mada na kufungua sababu unajua huyu hawezi toa za ajabuajabu,halafu na wale wanaojifanya sijui jirani anaomba ushauri , sijui nani nao tuwaweke kundi gani maana kwa kweli kuna wengine huwa ni waongo wakija kujibu posts huwa wanajichanhganya...mabadiliko yanaanza na sie wenyewe hakuna atakayeyaleta ....thanks EMT kwa kutukumbusha

Kweli tusipoangalia hapa patakuwa kama jukwaa la siasa ambapo unasoma threads na posts za watu fulani na nyingine una disregard kwa sababu ya ku assume kuwa hawaandiki cha maana.
 
very true
ningeweza ningekuteua EMT uwe moderator
nilikuwa sijagundua huyu ndo huyo huyo...

Nafikiri watumiaji wote wawe moderators kwa maana ya ku report any abuse, spam etc kwa Mods. Mtu mmoja hawezi kumoderate hili jukwaa for 24 hours. Lakini sote kwa pamoja tunaweza. Kuna kipindi tulikuwa tunajadili hoja muhimu za mapenzi, mahusino na urafiki lakini naona kama either zimepungua hivi karibuni au zimezidiwa na threads kama nilizozitaja hapo juu.
 
Labda likifanikiwa hili na mimi labda ntakuwa naingia humu kushiriki jukwaani maana mimi hilo ndo lilikuwa kikwazo kikubwa kwangu..maana kila nikiingia huwa nakuta thread za ajabu mpaka nashangaa!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Umesema maana aise siku hizi kubnaboa hata kuingia maana topic nyingine hazina hata mshiko ila zipo tuu zinatujazia humu
 
Good points EMT..

Lakini binafsi nadhani kudhibiti tabia za watu itachukua muda na energy ya kutosha kwani watu wanaingia humu kwa malengo mbalimbali..kuna wanaotaka kujua na kujifunza..na kuna wale wanaotaka kumaliza frustrations zao hapa; na pia kuna wale (ashakhum si matusi) wanao balehe..Taabu kweli kweli!

Kutokana na urahisi wa ku-create username..mtu anakurupuka na username just ku-post pumba ambazo yeye binafsi anaamini yuko sahihi na pia lile group lenye frustration kama yeye litaona yupo sahihi na wewe ndio hauko sahihi.

Siku utakapoweza kudhibiti creation za unnecessary usernames ndipo utakuwa umepiga hatua moja mbele..
 
Kwa wapenzi wa Jukwaa la MMU,

Wiki hii tumefahamishwa na moderators kuwa kuanzia sasa threads zote ambazo zitakuwa posted hapa MMU zitakuwa under moderation kabla hazijawa approved kama lilivyo Jukwaa la Siasa. Moderators wameamua kufanya hivi kwa sababu kumekuwa na mlolongo wa threads zisizokuwa na maana yoyote au thread ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote ndani ya Jukwaa hili.

Wengi wamekubaliana na hii hoja japokuwa mimi nilikuwa na reservation kama itafanya kazi ipasavyo. Hata hivyo bado inaonekana baadhi ya members wanaanzisha threads ambazo naweza kusema ni feki au za kutunga na kupoteza, pamoja na mambo mengine, muda na resources za members wengine.

Mfano kuna member mmoja alinzisha thread mwezi uliopita titled: "Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame". Kwenye hiyo thread aliandika: "kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka."

Jana member huyo huyo akaanzisha thread nyingine titled: "Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!" Kwenye thread aliandika: "Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje? Ndiye huyu huyu member alianzisha a thead titled: "Mwenzi wangu ana mbweche kubwa.

Kwa kweli hii ni abuse ya hili Jukwaa na imetokea baada ya Moderators kusema kuwa watakuwa wana approve kila thread kabla ya kuwekwa hapa. Najua kabisa kuwa Mods hawawezi kupitia kila thread iliyoanzishwa. Kwa mantiki hiyo, kuna umuhimu wa sisi watumiaji wa Jukwaa la MMU ku moderate threads zinazowekwa hapa kwa ku report abuse kama hizi. Pia kwa faida ya hili jukwaa ni muhimu wale wanaoanzisha threads wajimoderate wenyewe kwa kuwa honest na wanachoandika badala ya ku spam hili jukwaa na stories za uongo. Kama hawawezi kutumia utashi wao kujimoderate then sisi watumiaji tufanye hivyo kwa kuwamoderate. Vingenevyo hili jukwaa litashuka hadhi yake ambayo imejengwa na members wake kwa muda mrefu.

Nashauri tusiwe tuu tunasoma threads na kupost bali pia tuwe tunaangalia threads ambazo zina walakini na kuziripoti kwa Mods. Always remember kifute chekundu cha REPORT ABUSE. Kiko pale kwa sababu za msingi. Naomba kutoa hoja.
Every thread will be under moderation before it is approved
 
Kwa wapenzi wa Jukwaa la MMU,

Wiki hii tumefahamishwa na moderators kuwa kuanzia sasa threads zote ambazo zitakuwa posted hapa MMU zitakuwa under moderation kabla hazijawa approved kama lilivyo Jukwaa la Siasa. Moderators wameamua kufanya hivi kwa sababu kumekuwa na mlolongo wa threads zisizokuwa na maana yoyote au thread ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote ndani ya Jukwaa hili.

Wengi wamekubaliana na hii hoja japokuwa mimi nilikuwa na reservation kama itafanya kazi ipasavyo. Hata hivyo bado inaonekana baadhi ya members wanaanzisha threads ambazo naweza kusema ni feki au za kutunga na kupoteza, pamoja na mambo mengine, muda na resources za members wengine.

Mfano kuna member mmoja alinzisha thread mwezi uliopita titled: “Mwenzi wangu anatoa ukelele. majirani wanadai tunawasumbua hawalali eti tuhame”. Kwenye hiyo thread aliandika: “kwa kweli kwenye shuhuli anatoa ukelele wa hali ya juu. sasa majirani wamecharuka wanadai tuhame tunawakaraisha. nimemsihi mwenzi wangu apunguze lakini anadai hafanyi makusudi anapokaribia mshindo tu ndo huwa balaa. Nifanyeje mwenzenu na kesi tayari ipo kwa mjumbe majirani wamecharuka.”

Jana member huyo huyo akaanzisha thread nyingine titled: “Anataka kunikimbia....kisa....eti simfikishi kilimani!” Kwenye thread aliandika: “Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au anayoyasema ni kweli! Sasa nyumbani kimenuka, na hataki tena nile. Hapa ameniambia nimtafutie nauli aende zake! Kumpenda nampenda, nifanyeje? Ndiye huyu huyu member alianzisha a thead titled: “Mwenzi wangu ana mbweche kubwa.

Kwa kweli hii ni abuse ya hili Jukwaa na imetokea baada ya Moderators kusema kuwa watakuwa wana approve kila thread kabla ya kuwekwa hapa. Najua kabisa kuwa Mods hawawezi kupitia kila thread iliyoanzishwa. Kwa mantiki hiyo, kuna umuhimu wa sisi watumiaji wa Jukwaa la MMU ku moderate threads zinazowekwa hapa kwa ku report abuse kama hizi. Pia kwa faida ya hili jukwaa ni muhimu wale wanaoanzisha threads wajimoderate wenyewe kwa kuwa honest na wanachoandika badala ya ku spam hili jukwaa na stories za uongo. Kama hawawezi kutumia utashi wao kujimoderate then sisi watumiaji tufanye hivyo kwa kuwamoderate. Vingenevyo hili jukwaa litashuka hadhi yake ambayo imejengwa na members wake kwa muda mrefu.

Nashauri tusiwe tuu tunasoma threads na kupost bali pia tuwe tunaangalia threads ambazo zina walakini na kuziripoti kwa Mods. Always remember kifute chekundu cha REPORT ABUSE. Kiko pale kwa sababu za msingi. Naomba kutoa hoja.
Every thread will be under moderation before it is approved
 
Pamoja na mawazo mazuri ya EMT mimi na beg to differ.Binafsi kuna kipindi nilikuwa sikosi kwenye blog ya Issa Michuzi.Moderatation ndo ilinitoa nduki huko na nina miaka sijaenda huko.Moderation can make you feel stupid maana unajikunja unaona umefungua thread ya maana kisha mod in his considered opinion anakutolea nje,it hurts.
ushauri: Mods acheni threads ziingie jukwaani na kisha sisi members ndo tuchambue kipi mpunga na kipi mchele.Pumba tunapotezea mchele tunapiga ma comments na ma likes.Afterall threads kibao mmu huwa zinaishia kupata ma views kibao with few comments.Sisi ni watu wazima bana tuacheni tujiamulie cha kusoma na cha kudharau.
 
Pamoja na mawazo mazuri ya EMT mimi na beg to differ.Binafsi kuna kipindi nilikuwa sikosi kwenye blog ya Issa Michuzi.Moderatation ndo ilinitoa nduki huko na nina miaka sijaenda huko.Moderation can make you feel stupid maana unajikunja unaona umefungua thread ya maana kisha mod in his considered opinion anakutolea nje,it hurts.
ushauri: Mods acheni threads ziingie jukwaani na kisha sisi members ndo tuchambue kipi mpunga na kipi mchele.Pumba tunapotezea mchele tunapiga ma comments na ma likes.Afterall threads kibao mmu huwa zinaishia kupata ma views kibao with few comments.Sisi ni watu wazima bana tuacheni tujiamulie cha kusoma na cha kudharau.

kama kuna ka_ukweli vile,....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Naomba wazitoe thread zooote wanibakizie za bjbj, nachekaga sana , kwanza nikiona tu kabla sijafunga mie cheko
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Pamoja na mawazo mazuri ya EMT mimi na beg to differ.Binafsi kuna kipindi nilikuwa sikosi kwenye blog ya Issa Michuzi.Moderatation ndo ilinitoa nduki huko na nina miaka sijaenda huko.Moderation can make you feel stupid maana unajikunja unaona umefungua thread ya maana kisha mod in his considered opinion anakutolea nje,it hurts.
ushauri: Mods acheni threads ziingie jukwaani na kisha sisi members ndo tuchambue kipi mpunga na kipi mchele.Pumba tunapotezea mchele tunapiga ma comments na ma likes.Afterall threads kibao mmu huwa zinaishia kupata ma views kibao with few comments.Sisi ni watu wazima bana tuacheni tujiamulie cha kusoma na cha kudharau.

Mkuu na mimi hapo na omba kidogo kuudiffer na wewe
Mkuu kuna thread kweli zinaanzishwa na mtu unaiona ya maana kabisa na watu wanachangia
Nitoe mfano wa hizo mbili alizotoa jamaa hapo juu
Kumjua kuwa ni yule yule ametoa topic ya ajabu nayo inakuw ani ngumu at least kwa mods inakuwa rahisi zaidi kujua kuwa huyu ni yule yule alikuja na story ya aina hii na kuiondoa
Juzi hapa kulikuwa na story ya jamaa anasema yeye ni house boy na anapendwa na shemeji sijui mama wa jamaa aliyemleta na ndo anajifunza computer ila kashaijua JF
Unaenda kwenye jukwaa la Technology unakutana na the same guy anaulizia vitu vya computer
sasa unajiuliza huyu kule kwenye jukwa la MMU anasema ni house boy na ndo ana miezi miwili mjini na ndo anajifunza computer huku anaulizia masuala ya ndani kabisa ya computer yenyewe
So naunga mkono hoja ya EMT kuwa Mods wafanye kazi yao aise kuondoa huu utitiri wa topic zisizo na mshiko
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ukiwa na mtazamo tofauti haimaanishi kuwa wewe uko sahihi.
Ni kwa nini umenispot mimi. Kwako wewe hizo ndo thread mbaya kuliko zote humu jamvini? Kumbuka kuwa hizo thread zimepitia kwa mods tena baada ya huo utaratibu wa kumoderate ulipoanzishwa.

Pamoja na madudu mengi mnayofanya nyie mnaojiita "wamiliki wa jukwaa/wavuti" nataka nikupe mfano mmoja tu:
Kuna siku mtu mmoja alikuja humu eti aking'ang'ana kumuulizia member mmoja hivi eti amemmaind (Nina hakika alikuwa ni mtu huyo huyo katika ID tofauti-anajiulizia mwenyewe). "Wamiliki" wa hili jukwaa mliishabikia sana hiyo thread hata pale baadhi ya watu waliposema kuwa haikuwa na tija mliwageuzia kibao na kuwashambulia hao watu. Kwa kuona kuwa ule ulikuwa upuuzi mods waliiondoa tena bila kuambiwa na mtu. Kwa upuuzi wa hali ya juu ikarudishwa, mods wakaiondoa tena. Je hali hiyo nayo tuiiteje?
Mnanikumbsha ile hadithi ya wanyama: "All animals are equal, but some are more equal". Mnachekesha sana.
 
Kwani hili jukwaa lina wamiliki?mimi sikujua.mimi husoma JF kwa style ya NEW POSTS.so najikuta navist majukwaa yote
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hapa naona kuna unafiki tu. Ni vigezo gani vitatumika katika kuamua mada fulani ni ya kipuuzi na isiyostahili kuwekwa hapa jamvini na fulani ni yenye akili na hivyo kustahili kuwekwa jamvini ili maalwatan wa hapa MMU waichambue, waijadili, na wapige soga zao za nani anampenda nani na nani ni mjukuu wa nani na nani ni mpwa wa nani na nani ni shemeji wa nani na wapi mjumuiko ulipokuwa mwisho wa juma na nini kilichojiri kwenye huo mjumuiko?
 
Hapa naona kuna unafiki tu. Ni vigezo gani vitatumika katika kuamua mada fulani ni ya kipuuzi na isiyostahili kuwekwa hapa jamvini na fulani ni yenye akili na hivyo kustahili kuwekwa jamvini ili maalwatan wa hapa MMU waichambue, waijadili, na wapige soga zao za nani anampenda nani na nani ni mjukuu wa nani na nani ni mpwa wa nani na nani ni shemeji wa nani na wapi mjumuiko ulipokuwa mwisho wa juma na nini kilichojiri kwenye huo mjumuiko?

Well researched and said!
Umemaliza yote.
Sina cha kuongeza.
Nadhani "magwiji" wa hili jukwaa wamekusikia
UJUMBE MZITO HUO HATA KAMA NGUMU KUMEZA.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom