Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,393
- 79,616
Nakujanjoo pm tuyajenge
Nakujanjoo pm tuyajenge
haya nakusubiri loveNakuja
He! Hivi ndo tushatongozana hivyo???haya nakusubiri love
nakupenda zaidi
He! Hivi ndo tushatongozana hivyo???
Nimetongozwa na kukubali bila kujua. Kazi kweli kweli..
Eti eeh!Yule ni mume mkubwa. Wewe mdogo. Dont worry ...nyama ni ile ile
Mapenzi ya siku hizi usicomplicate sana..na ukitaka kutafuta mke mdogo ruksaEti eeh!
Kirahisi hivyo?
Siko tayari kwa hayo machaguo mawili unayonipa.Mapenzi ya siku hizi usicomplicate sana..na ukitaka kutafuta mke mdogo ruksa
Teh teh. Unaruhusiwa upate mke mdogo unakataa lakini michepuko huachi.Siko tayari kwa hayo machaguo mawili unayonipa.
Mbona hutaki kunifanya nipende kutulia na wewe tu? Unadhani hiyo michepuko naifurahia sana?Teh teh. Unaruhusiwa upate mke mdogo unakataa lakini michepuko huachi.
Kama huifurahii mbona huachi? Halalisha wake wawili ujinafasi. Tatizo unapenda mapenzi ya kuibiaibia, au ndo matamu kuliko ya halali?Mbona hutaki kunifanya nipende kutulia na wewe tu? Unadhani hiyo michepuko naifurahia sana?
Tutauwana ujue magonjwa mengi.
Haha haha we ni mwehu!Kama huifurahii mbona huachi? Halalisha wake wawili ujinafasi. Tatizo unapenda mapenzi ya kuibiaibia, au ndo matamu kuliko ya halali?
Ndio. So acha kuzurura huko nje.Haha haha we ni mwehu!
Unataka muwe wawili Wa halali?
Niliacha as ahadi yangu kwako..Ndio. So acha kuzurura huko nje.
Sawa babaNiliacha as ahadi yangu kwako..
Tutulie tulee watoto wetu basi.
Umaanishe.Sawa baba